Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

ERIC
ERIC
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.23/01/2021 saa 7:20 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.22/01/2021 saa 5:46 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7958
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC

ERIC

  • Naweza
  • 39 Maswali
  • 42 Majibu
  • 0 Majibu Bora
  • 86 Pointi
Ona Wasifu
ERIC
Uliulizwa: 11/05/20202020-05-11T14:32:30-03:00 2020-05-11T14:32:30-03:00Katika: Safari

Je, ni nchi gani ungependa kutembea Afrika?

Nchi za Afrika zina sifa tofauti zinazozifanya kupendeza na pia kufanya watu wengi wapende kutembelea nchi hizo ili kujionea kama sifa hizi ni Kweli.
Huku ukitoa sababu ni nchi gani ungependa kutembelea?

  • 0
  • 3
  • 312
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    3 Majibu

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 118 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-16T11:09:24-03:00Alijibu 11:09 mu

      Mimi ningependa sana kutembea Afrika kusini, Nigeria na Tanzania. Mungu asikie maombi yangu

      Mimi ningependa sana kutembea Afrika kusini, Nigeria na Tanzania. Mungu asikie maombi yangu

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Oracle

      Oracle

      • Mwanajamii
      • 3 Maswali
      • 10 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 41 Pointi
      Ona Wasifu
      Oracle Mwanajamii
      2020-05-18T04:32:58-03:00Alijibu 4:32 mu

      Mimi ningependa kutembelea nchi za Guinea, DR Congo na Botswna ili kufanya utafiti wa kufahamu namna bora ya kutumia na kusimamia rasilimali kwa maendeleo ya wananchi na katika kuepuka/kutatua migogoro. Botswana ni mfano bora wa usimamizi bora wa rasilimali, lakini Dr Congo kuna shida kubwa katika uSoma zaidi

      Mimi ningependa kutembelea nchi za Guinea, DR Congo na Botswna ili kufanya utafiti wa kufahamu namna bora ya kutumia na kusimamia rasilimali kwa maendeleo ya wananchi na katika kuepuka/kutatua migogoro. Botswana ni mfano bora wa usimamizi bora wa rasilimali, lakini Dr Congo kuna shida kubwa katika usimamizi na matumizi ya rasilimali hali inayosababisha mgogoro (vita) usiokwisha. Kwa upande mwingine, Guinea imetulia kwa sasa baada ya migogoro ya mara kwa mara iliyotokana na usimamizi mbovu wa madini ya beuxite. Mlinganisho huo utasaidia kuonesha njia zinazoweza kutumika kukuza uchumi, kuepuka migogoro na kuleta ustawi wa wananchi.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-05-13T07:59:56-03:00Alijibu 7:59 mu

      Kuna nchini nyingi ambazo ningependa kuzuru katika Afrika. Nchi kama vile Afrika Kusini, Eritria na hata Nigeria ni baadhi tu ya nchi ambazo zina mvuti halisi ya kitalii. Ina mambi mengi ya kuzuru na kujionea miongoni yao hata wanyama hadimu duniani.

      Kuna nchini nyingi ambazo ningependa kuzuru katika Afrika. Nchi kama vile Afrika Kusini, Eritria na hata Nigeria ni baadhi tu ya nchi ambazo zina mvuti halisi ya kitalii. Ina mambi mengi ya kuzuru na kujionea miongoni yao hata wanyama hadimu duniani.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Swali API test
      • Tarehe: 17/01/2021
      • Jibu: 1

      Swali API test

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, maishani mwako ungependa kutembelea nchi gani?

      Taja sababu ya kupendezwa na nchi hiyo, kiwango hicho

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

    • Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?
      • Tarehe: 27/04/2020
      • Majibu: 3

      Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

      Watu wengi wanaongea juu ya miradi hiyo kubwa sana. Tofauti ni zipi?

      • Tarehe: 13/04/2020
      • Majibu: 3

      ni vyema kusafiri kutoka mjini kwende mashambani kwa wazazi?

      Je, inapaswa watu waliokua wakiishi mjini kusafiri shambani kwa wazazi wao?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida. Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi? Je, kwa maoni yako

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

      Kenya na Tanzania ni nchi jirani ambazo zimeishi kwa miaka mingi bila ugomvi. Juzi kumekuwa na tatizo fulani kuhusu mpaka wa nchi inzi mbili kutokana na ugonjwa hatari wa Korona. Rais wa Kenya aliamurisha kuwa raia wa Tanzania hawataruhusiwa kuingia

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais