Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.23/01/2021 saa 7:20 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.22/01/2021 saa 5:46 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6757
Inashughulikiwa
Haijulikani
Haijulikani
Uliulizwa: 30/03/20202020-03-30T04:44:20-03:00 2020-03-30T04:44:20-03:00Katika: Mahusiano

Je, mtu anaweza kupata corona kupitia ngono?

Naona watu bado wana mahitaji yao ya kimwili, hasa katika muda huu wa kubaki nyumbani siku yote. Swali hili ni muhimu tujue namna tuendelee na usalama. Majibu ya serious tu naomba.

coronamapenzingonousalama
  • 4
  • 4
  • 650
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    4 Majibu

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. Luyela

      Luyela

      • KIJANA SHUPAVU
      • 5 Maswali
      • 7 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 67 Pointi
      Ona Wasifu
      Luyela KIJANA SHUPAVU
      2020-04-03T17:58:36-03:00Alijibu 5:58 um

      Hapana, mtu hawezi kupata maambuzi ya corona kupitia ngono. Ila anaweza kupata virusi endapo tu watagusana sehemu zenye vidudu vya corona kama mikononi, mdomoni n.k

      Hapana, mtu hawezi kupata maambuzi ya corona kupitia ngono. Ila anaweza kupata virusi endapo tu watagusana sehemu zenye vidudu vya corona kama mikononi, mdomoni n.k

      Angalia kidogo
      • 2
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
      • 1
      • Cloudy2

        Cloudy2

        • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
        • 8 Maswali
        • 30 Majibu
        • 2 Majibu Bora
        • 92 Pointi
        Ona Wasifu
        Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
        2020-04-06T06:51:44-03:00Alijibu kwa 6:51 mu

        Kwa hivyo hata mtu anaweza kula mpaka anakunywa bia ya corona na bado hataipata???

        Kwa hivyo hata mtu anaweza kula mpaka anakunywa bia ya corona na bado hataipata???

        Angalia kidogo
        • 0
        • Shiriki
          Shea
          • Picha za
          • Twitter
          • WhatsApp
    2. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 118 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-11T02:50:14-03:00Alijibu 2:50 mu

      Haijadhibitishwa kuwa unaweza pata Corona kupitia ngono. Lakini tendo la ngono lenyewe linahusisha mabusu mengi na kuwa kwa ukaribu sana na mwenzako, kwa hivyo unaweza kupata corona kwa njia ya mate

      Haijadhibitishwa kuwa unaweza pata Corona kupitia ngono. Lakini tendo la ngono lenyewe linahusisha mabusu mengi na kuwa kwa ukaribu sana na mwenzako, kwa hivyo unaweza kupata corona kwa njia ya mate

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Upendo

      Upendo

      • Upendo ni jina na imani wangu
      • 3 Maswali
      • 11 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 49 Pointi
      Ona Wasifu
      Upendo Upendo ni jina na imani wangu
      2020-04-08T05:00:48-03:00Alijibu 5:00 mu

      Kila kitu kinapatikana ngono - STD, virusi, upotevu kwa hivyo si corona pia? Chungu vizuri 👀

      Kila kitu kinapatikana ngono – STD, virusi, upotevu kwa hivyo si corona pia? Chungu vizuri 👀

      Angalia kidogo
      • -1
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 5

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki. Tunategemea utalii na exports. Sekta gani zingine zitaathirika?

      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 3

      Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

      Kwa kipindi hiki cha Corona, hali ya biashara sehemu nyingi imekua mbaya sana kulingani na sheria mbali mbali zilizowekwa ndani ya nchi. Nimekuwa nikijiuliza kwamba hali ya biashara itakuaje baada ya ugonjwa huu kuisha. Biashara gani zitakazo kua na nafasi

    • Unaogopa ebola ama corona zaidi?
      • Tarehe: 02/04/2020
      • Majibu: 5

      Unaogopa ebola ama corona zaidi?

      Sasa dunia pote panachukua hatua kupigana na virusi. Lakini huko congo na pengine Afrika tayari tunashughulikia maradhi kama ebola. Si waafrika wa Afrique de l'est wamezoea? Masaibu ya ebola imekuwapo Beni kwa muda. Sasa Corona inabisha

    • Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?
      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 3

      Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? ...

      Tayari nimeanza kuwa na shida ya kubaki nyumbani. Nina faida ya kufanya kazi nyumbani lakini tayari magambano yanazidi na mke. Pia sijui muda gani kazi itabaki katika mazingira haya ya kutojua chochote. Naogopa kuwa uchumi utazorota muda

    • Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana na ugonjwa wa Corona?
      • Tarehe: 29/03/2020
      • Majibu: 2

      Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana ...

      Leo tunakaribia mwezi wa aprili na mimi najiuliza nchi gani itafanikiwa zaidi kupambana na Corona? Leo nilisikia Rwanda chakula kitapelekewa wananchi wao. Tanzania ilianza mapema kutoa marafuku. Nchi zingine ikoje?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Swali API test
      • Tarehe: 17/01/2021
      • Jibu: 1

      Swali API test

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 30/12/2020
      • Jibu: 1

      Taja inchi tatu zinazo ongea Kiswahili viruzi zaidi barani Africa.

      • Tarehe: 27/12/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni wanasiasa wa Tanzania wangapi walidai Asylum baada ya ...

      • Tarehe: 22/11/2020
      • Jibu: 1

      Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za Watanzania katika ...

      Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za wananchi wa Tanzania katika kipindi cha pili cha Rais John nmagufuli? Je, uhuru utaheshimiwa au utazidi kuminywa?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais