Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7445
alijibu
ERIC
ERIC
aliuliza 17/04/20202020-04-17T13:19:25-03:00 2020-04-17T13:19:25-03:00kwa Kenya

Je, maneno ya Rais wa Tanzania John Paul Magufuli yafaa?

Punde tu mgonjwa wa Korona  wakwanza alipopatikana nchini Tanzania. Rais John Paul Magufuli aliwasihi Watanzania waendelee na shughuli zao za kawaida ili kuzuia uchumi wa Tanzania kuzoroteka.

Kwa maoni yako maneno haya yanafaa?

  • 1
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Bora
      Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-04-17T14:34:04-03:00Alijibu tarehe 17/04/2020 saa 2:34 um

      Naona mjadala kati manufaa ya kuendelea kawaida ama kuendelea mhofu inafaa.  Watu wengi wa Tanzania wanategemea kazi yao.  Umaskini upo mengi kwa Tanzania, hata kuliko Kenya.  Kwa hivyo si nchi hizo zisisahau changamoto zao zingine zilikuwepo kabla?  Hakuna nchi inayoathirika sana katika Afrika ya SSoma zaidi

      Naona mjadala kati manufaa ya kuendelea kawaida ama kuendelea mhofu inafaa.  Watu wengi wa Tanzania wanategemea kazi yao.  Umaskini upo mengi kwa Tanzania, hata kuliko Kenya.  Kwa hivyo si nchi hizo zisisahau changamoto zao zingine zilikuwepo kabla?  Hakuna nchi inayoathirika sana katika Afrika ya Sahara.  Kama mambo inaendelea hivyohivyo nchi zifunguke polepole na kitaratibu.  Inabaki kuwa mwangalifu sana hapo.  Hata Ulaya wamegundua baada ya muda ya kwamba idadi wanaokufa sio wengi kabisa walivyofikiria mwanzoni.  Pia hao wana watu wengi wazee.

      Lakini wacha nimalize vizuri – ya msingi ni kuwa Korona ni mambo mazito na hatari.  Inabidi tuungane mikono kuishinda.  Inabidi hatua nyingi ya serikali ili kupunguza vifo.  

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-17T14:48:13-03:00Alijibu tarehe 17/04/2020 saa 2:48 um

      Ni wazi kwamba nchini ambazo zilisimamisha shugli zao za kila siku kwa ajili ya Korona, zimeweza kuithirika pakubwa kiuchumi. Hivi basi, rais Magufuli alionea ni bora wananchi wa Tanzania kupambana na virusi hivi, moja kwa moja na kuendelea na shugli zao za kuikuza uchumi wa Tanzania. Hii inaweza kiSoma zaidi

      Ni wazi kwamba nchini ambazo zilisimamisha shugli zao za kila siku kwa ajili ya Korona, zimeweza kuithirika pakubwa kiuchumi. Hivi basi, rais Magufuli alionea ni bora wananchi wa Tanzania kupambana na virusi hivi, moja kwa moja na kuendelea na shugli zao za kuikuza uchumi wa Tanzania. Hii inaweza kiwa wazo bora iwapo Tanzania itaweza kukabiliana na Korona jinsi ipasavyo. Ilhali kama watalemewa kuothibiti Korona, Tanzania itaangamia zaidi kuichumi na watu wengi wataweza kupoteza maisha yao.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-30T03:07:08-03:00Alijibu tarehe 30/06/2020 saa 3:07 mu

      Ni hatari sana kuweka pesa kabla ya maisha ya binadamu. Sina mengi ya kusema ila inatisha sana.

      Ni hatari sana kuweka pesa kabla ya maisha ya binadamu. Sina mengi ya kusema ila inatisha sana.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 07/06/2021
      • Jibu: 1

      TB Joshua alitabiri kifo chake? Alitabiri mengi huyo muhubiri mkristo ...

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, una maoni gani kuhusu uhusiano kati ya Rais Uhuru ...

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Jibu: 1

      Hatua na serikali kuhakikisha kila mwananchi akona maski yake binafsi?

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais