Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7959
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee
aliuliza 11/05/20202020-05-11T17:55:47-03:00 2020-05-11T17:55:47-03:00kwa Afya

Je, Korona itaisha mwaka huu ama mwaka ujao?

Kulingana na maoni yako, inawezekana kuwa virusi vya Korona vinaweza kuisha ifikapo mwaka ujao ama mwaka huu tuliopo. Toa hisia zako na sababu?

  • 0
  • 3
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK Napenda lugha
      2020-07-04T04:22:18-03:00Alijibu tarehe 04/07/2020 saa 4:22 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Hakuna anayeweza kusema kwa kweli ugonjwa wa Corona utaishi lini. Ata hivyo, dunia ya kisasa imebobea sana kimaendeleo kwa hivyo tunatarajia ugonjwa huo kuisha kabla mwaka huu kuisha. Uchina na nchi zingine zinashughulika sana kutafuta chanjo na tuna amani itapatikana. Ninaamini chanjo ishapatikanaSoma zaidi

      Hakuna anayeweza kusema kwa kweli ugonjwa wa Corona utaishi lini. Ata hivyo, dunia ya kisasa imebobea sana kimaendeleo kwa hivyo tunatarajia ugonjwa huo kuisha kabla mwaka huu kuisha. Uchina na nchi zingine zinashughulika sana kutafuta chanjo na tuna amani itapatikana. Ninaamini chanjo ishapatikana nchini Uchina na wamebakisha majaribio tu. Tumeshuhudia ugonjwa wa corona kupungua kabisa nchini uchina na maambukizi mapya si mengi. Kumaanisha ata Afrika virusi vitaisha tu kwani huku maambukizi ata si mengi vile. Pia watu wamevumbua mbinu mingi za kinyumbani za kupambana na virusi vya corona na zimesaidia sana.

      Cha muhimu sasa hivi ni kufuatilia masharti ya wizara ya afya na serikali mpaka pindi ugonjwa huu utakapoisha ili kuzuia maambukizi mengi zaidi. Zaidi tumuweke Mungu mbele na tumuombe sana atuondolee janga hili la corona mwaka huu ili tuyarudie maisha yetu ya kawaida.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Mkubwa Dunia inaisha Mungu atabaki
      2020-05-12T00:58:09-03:00Alijibu tarehe 12/05/2020 saa 12:58 mu

      Corona itaisha mwaka huu lakini mabaki yake hataendelea miaka ijayo maanake athari kubwa zake zitakwisha mwakani lakini viwimbi vidogo vya baadaye vitatokea siku za usoni.

      Corona itaisha mwaka huu lakini mabaki yake hataendelea miaka ijayo maanake athari kubwa zake zitakwisha mwakani lakini viwimbi vidogo vya baadaye vitatokea siku za usoni.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. ERIC Naweza
      2020-05-12T16:30:43-03:00Alijibu tarehe 12/05/2020 saa 4:30 um

      Ugonjwa wa Korona umeleta shida chungu zima duniani kote. Ni maobi ya kila mmoja ugonjwa huu uweze kufikia tamati. Iwapo kila mtu atatilia maanani sheria ambazo zimeekwa ili kupuguza kuenea kwa ugonjwa huu bila Shaka ugonjwa huu hauna budi utafikia tamati. Lakini tusipozitia maanani kanuni za wizaraSoma zaidi

      Ugonjwa wa Korona umeleta shida chungu zima duniani kote. Ni maobi ya kila mmoja ugonjwa huu uweze kufikia tamati.

      Iwapo kila mtu atatilia maanani sheria ambazo zimeekwa ili kupuguza kuenea kwa ugonjwa huu bila Shaka ugonjwa huu hauna budi utafikia tamati. Lakini tusipozitia maanani kanuni za wizara ya afya ugonjwa utachukua mda mrefu.

      Asante Sana.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 0

      Chakula gani kinachowezesha ngozi yako kuzeeka zaidi?

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais