Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7959
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 75 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
aliuliza 11/05/20202020-05-11T17:55:47-03:00 2020-05-11T17:55:47-03:00kwa Zote Zingine

Je, Korona itaisha mwaka huu ama mwaka ujao?

Kulingana na maoni yako, inawezekana kuwa virusi vya Korona vinaweza kuisha ifikapo mwaka ujao ama mwaka huu tuliopo. Toa hisia zako na sababu?

  • 0
  • 3
  • 352
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-07-04T04:22:18-03:00Alijibu tarehe 04/07/2020 saa 4:22 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Hakuna anayeweza kusema kwa kweli ugonjwa wa Corona utaishi lini. Ata hivyo, dunia ya kisasa imebobea sana kimaendeleo kwa hivyo tunatarajia ugonjwa huo kuisha kabla mwaka huu kuisha. Uchina na nchi zingine zinashughulika sana kutafuta chanjo na tuna amani itapatikana. Ninaamini chanjo ishapatikanaSoma zaidi

      Hakuna anayeweza kusema kwa kweli ugonjwa wa Corona utaishi lini. Ata hivyo, dunia ya kisasa imebobea sana kimaendeleo kwa hivyo tunatarajia ugonjwa huo kuisha kabla mwaka huu kuisha. Uchina na nchi zingine zinashughulika sana kutafuta chanjo na tuna amani itapatikana. Ninaamini chanjo ishapatikana nchini Uchina na wamebakisha majaribio tu. Tumeshuhudia ugonjwa wa corona kupungua kabisa nchini uchina na maambukizi mapya si mengi. Kumaanisha ata Afrika virusi vitaisha tu kwani huku maambukizi ata si mengi vile. Pia watu wamevumbua mbinu mingi za kinyumbani za kupambana na virusi vya corona na zimesaidia sana.

      Cha muhimu sasa hivi ni kufuatilia masharti ya wizara ya afya na serikali mpaka pindi ugonjwa huu utakapoisha ili kuzuia maambukizi mengi zaidi. Zaidi tumuweke Mungu mbele na tumuombe sana atuondolee janga hili la corona mwaka huu ili tuyarudie maisha yetu ya kawaida.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-05-12T16:30:43-03:00Alijibu tarehe 12/05/2020 saa 4:30 um

      Ugonjwa wa Korona umeleta shida chungu zima duniani kote. Ni maobi ya kila mmoja ugonjwa huu uweze kufikia tamati. Iwapo kila mtu atatilia maanani sheria ambazo zimeekwa ili kupuguza kuenea kwa ugonjwa huu bila Shaka ugonjwa huu hauna budi utafikia tamati. Lakini tusipozitia maanani kanuni za wizaraSoma zaidi

      Ugonjwa wa Korona umeleta shida chungu zima duniani kote. Ni maobi ya kila mmoja ugonjwa huu uweze kufikia tamati.

      Iwapo kila mtu atatilia maanani sheria ambazo zimeekwa ili kupuguza kuenea kwa ugonjwa huu bila Shaka ugonjwa huu hauna budi utafikia tamati. Lakini tusipozitia maanani kanuni za wizara ya afya ugonjwa utachukua mda mrefu.

      Asante Sana.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Mkubwa

      Mkubwa

      • Dunia inaisha Mungu atabaki
      • 8 Maswali
      • 15 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 79 Pointi
      Ona Wasifu
      Mkubwa Dunia inaisha Mungu atabaki
      2020-05-12T00:58:09-03:00Alijibu tarehe 12/05/2020 saa 12:58 mu

      Corona itaisha mwaka huu lakini mabaki yake hataendelea miaka ijayo maanake athari kubwa zake zitakwisha mwakani lakini viwimbi vidogo vya baadaye vitatokea siku za usoni.

      Corona itaisha mwaka huu lakini mabaki yake hataendelea miaka ijayo maanake athari kubwa zake zitakwisha mwakani lakini viwimbi vidogo vya baadaye vitatokea siku za usoni.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 19/06/2020
      • Jibu: 1

      BBC Swahili inasikika katika nchi ngapi?

      Unaweza kunitajia nchi ambazo watu wake wanasikiliza BBC idhaa ya Kiswahili?. Na wanasikiliza kupitia vituo gani vya redio katika nchi zao, au wanatumia njia gani nyingine?

      • Tarehe: 03/06/2020
      • Jibu: 1

      Baada ya matukio mengi mwakani - una malengo gani?

      Naona Diamond ana malengo mazuri sana tunayoweza kufuatia. Je, kwako ni vipi?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais