Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

ERIC
ERIC
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Admin alifuata swali lako.19/01/2021 saa 12:08 mu
      • Admin alipigia kura swali lako19/01/2021 saa 12:07 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.19/01/2021 saa 12:07 mu
      • MamaYako alipiga kura kwa swali lako.18/01/2021 saa 11:59 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7985
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC

ERIC

  • Naweza
  • 39 Maswali
  • 42 Majibu
  • 0 Majibu Bora
  • 86 Pointi
Ona Wasifu
ERIC
Uliulizwa: 22/05/20202020-05-22T02:22:08-03:00 2020-05-22T02:22:08-03:00Katika: Siasa

Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ingine Sana?

Kenya na Tanzania ni nchi jirani ambazo zimeishi kwa miaka mingi bila ugomvi. Juzi kumekuwa na tatizo fulani kuhusu mpaka wa nchi inzi mbili kutokana na ugonjwa hatari wa Korona.
Rais wa Kenya aliamurisha kuwa raia wa Tanzania hawataruhusiwa kuingia nchini Kenya. Gari za mizingo ndo zilipewa nafasi ya kusafiri. Hii ni kutokana na ongezeko ya ugonjwa wa Korona nchini Tanzania.
Baada ya siku moja Rais wa Tanzania alihamrisha si wananchi tu ila pia hizo Gari za mizingo kutoka Kenya hazitaruhusiwa nchini Tanzania.
Je iwapo ili litafanyika ni nchi gani itaadhirika Sana?

  • 0
  • 2
  • 294
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    Majibu2

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 118 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-30T02:56:30-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Kenya iko bora sana kiuchumi na kimaendeleo. Tanzania labda kwa sanaa za uigizaji na muziki pekee.

      Kenya iko bora sana kiuchumi na kimaendeleo. Tanzania labda kwa sanaa za uigizaji na muziki pekee.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-05-23T01:59:56-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Tanzania ni nchi iliyo imarika zaidi kiuchumi na hata Kenya. Lakini Kenya imeweza kuonyesha maendeleo mengi miaka kama kuki zilizopita. Kwa maoni yangu, Kenyaiko mbele ki maendeleo ukilinganisha na Tanzania.Iwapo mtawanyiko huu utazidi, basi Tanzania ndio nchi ambayo itaweza kuathirika zaidi.

      Tanzania ni nchi iliyo imarika zaidi kiuchumi na hata Kenya. Lakini Kenya imeweza kuonyesha maendeleo mengi miaka kama kuki zilizopita. Kwa maoni yangu, Kenyaiko mbele ki maendeleo ukilinganisha na Tanzania.Iwapo mtawanyiko huu utazidi, basi Tanzania ndio nchi ambayo itaweza kuathirika zaidi.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 27/12/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni wanasiasa wa Tanzania wangapi walidai Asylum baada ya ...

      • Tarehe: 22/11/2020
      • Jibu: 1

      Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za Watanzania katika ...

      Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za wananchi wa Tanzania katika kipindi cha pili cha Rais John nmagufuli? Je, uhuru utaheshimiwa au utazidi kuminywa?

      • Tarehe: 29/07/2020
      • Majibu: 0

      Je, kuna athari gani kwa nchi za Afrika kutokana na ...

      Migogoro isiyokwisha kati ya mataifa makubwa ya China na Marekani imepelekea kutokea kwa mgogoro mkubwa wa kidiplomasia kati ya nchi hizo. Hivi karibuni Marekani ilifunga ubalozi wa China huko Houston, Texas, na China ikalipa kisasi kwa kufunga ubalozi wa Marekani

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, una maoni gani kuhusu uhusiano kati ya Rais Uhuru ...

      Fafanua madhara ya uhusiano huu na mkondo unaochukua kisiasa

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida. Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi? Je, kwa maoni yako

      • Tarehe: 20/05/2020
      • Majibu: 2

      Uliwahi anzisha bihashara gani?

      Duniani kumekuwa na upugufu WA kazi. Kila mwaka vijana wengi wanatuzwa kwa kukamilisha masomo Yao ya chuo kikuu lakini kupata kazi imekuwa balaa Sana. Vijana wengi wameamua kuanzisha bihashara, Je uliwahi anzisha bihashara gani? Ilikuletea faida au hasara?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais