Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7438
Inashughulikiwa
Cloudy2
Kura
Cloudy2
aliuliza 17/04/20202020-04-17T06:55:38-03:00 2020-04-17T06:55:38-03:00kwa Muziki

Huu wimbo inawakilisha waafrika wote hali ilivyo sasa?

Matokeo ya Kura

Tafadhali ingia kupiga kura na uone matokeo.

Shiriki kwenye kura ya maoni, Chagua Jibu lako.

Huu wimbo inawakilisha waafrika wote hali ilivyo sasa?
  • 4
  • 4
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    4 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-17T14:55:27-03:00Alijibu tarehe 17/04/2020 saa 2:55 um

      Hongera sana kwa SautiSol kwa kutoa wimbo huu bora kiasi hiki. Huu ni wimbo unaosaidia kuwatia waafrika nguvu tunapopambana na Korona na masaibu mengine kutokana na hali hii. Ni vyema kiwa mkakamavu na mvumilivu katika maisha ya kila siku ili kuwa bora. Wimbo huu unawapa wananchi wa Kenya na AfrikaSoma zaidi

      Hongera sana kwa SautiSol kwa kutoa wimbo huu bora kiasi hiki. Huu ni wimbo unaosaidia kuwatia waafrika nguvu tunapopambana na Korona na masaibu mengine kutokana na hali hii. Ni vyema kiwa mkakamavu na mvumilivu katika maisha ya kila siku ili kuwa bora. Wimbo huu unawapa wananchi wa Kenya na Afrika mashariki kwa jumla tumaini.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. ERIC Naweza
      2020-04-17T15:11:13-03:00Alijibu tarehe 17/04/2020 saa 3:11 um

      Wimbo huu unawapa Raia matumaini ya maisha mema. Unawasisitizia ingawa mambo yanaweza kuwa mangumu wakati huu siku moja mambo yatakuwa mazuri. Tunaitaji nyimbo zaidi kama hii zinazotupa matumini ya mazuri yanayokuja, hasa wakati hii tunapambana na ugonjwa wa Korona. Nakupenda Sana wimbo huu. AsanteSoma zaidi

      Wimbo huu unawapa Raia matumaini ya maisha mema. Unawasisitizia ingawa mambo yanaweza kuwa mangumu wakati huu siku moja mambo yatakuwa mazuri.

      Tunaitaji nyimbo zaidi kama hii zinazotupa matumini ya mazuri yanayokuja, hasa wakati hii tunapambana na ugonjwa wa Korona.

      Nakupenda Sana wimbo huu.

      Asante Sana.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Nilote4life Naamini kwa uwezo wa utu
      2020-04-18T07:04:47-03:00Alijibu tarehe 18/04/2020 saa 7:04 mu

      Music zote za kiafrika inawakilisha waafrika kwa roho, sauti, na ngoma zilizo bora duniani

      Music zote za kiafrika inawakilisha waafrika kwa roho, sauti, na ngoma zilizo bora duniani

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-11T02:39:04-03:00Alijibu tarehe 11/06/2020 saa 2:39 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Naupenda sana pia. Sauti sol ni waafrika asili. Wananifanya nijivunie kuwa mwafrika kwa kuuza sura ya Afrika kwa dunia nzima. 

      Naupenda sana pia. Sauti sol ni waafrika asili. Wananifanya nijivunie kuwa mwafrika kwa kuuza sura ya Afrika kwa dunia nzima. 

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 14/05/2021
      • Majibu: 0

      Jina la baba yake na zuchu msanii wa kizazi kipya ...

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Majibu: 2

      Je, unapenda muziki wa aina gani?

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, ni mwanamuziki yupi bora zaidi nchini Kenya?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      • Tarehe: 30/04/2020
      • Majibu: 2

      Kanyewest amekuwa Billionaire?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Ndii hii ni zulia?
      • Tarehe: 12/09/2021
      • Jibu: 1

      Ndii hii ni zulia?

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

    • Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?
      • Tarehe: 05/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?

    • Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?
      • Tarehe: 27/04/2020
      • Majibu: 3

      Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais