Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

Cloudy2
Cloudy2
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7438
Inashughulikiwa
Cloudy2
Cloudy2

Cloudy2

  • Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
  • 8 Maswali
  • 30 Majibu
  • 3 Majibu Bora
  • 97 Pointi
Ona Wasifu
Kura
Cloudy2
aliuliza 17/04/20202020-04-17T06:55:38-03:00 2020-04-17T06:55:38-03:00kwa Muziki

Huu wimbo inawakilisha waafrika wote hali ilivyo sasa?

Matokeo ya Kura

Tafadhali ingia kupiga kura na uone matokeo.

Shiriki kwenye kura ya maoni, Chagua Jibu lako.

Huu wimbo inawakilisha waafrika wote hali ilivyo sasa?
  • 4
  • 4
  • 467
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    4 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-11T02:39:04-03:00Alijibu tarehe 11/06/2020 saa 2:39 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Naupenda sana pia. Sauti sol ni waafrika asili. Wananifanya nijivunie kuwa mwafrika kwa kuuza sura ya Afrika kwa dunia nzima. 

      Naupenda sana pia. Sauti sol ni waafrika asili. Wananifanya nijivunie kuwa mwafrika kwa kuuza sura ya Afrika kwa dunia nzima. 

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Nilote4life

      Nilote4life

      • Naamini kwa uwezo wa utu
      • 2 Maswali
      • 12 Majibu
      • 2 Majibu Bora
      • 37 Pointi
      Ona Wasifu
      Nilote4life Naamini kwa uwezo wa utu
      2020-04-18T07:04:47-03:00Alijibu tarehe 18/04/2020 saa 7:04 mu

      Music zote za kiafrika inawakilisha waafrika kwa roho, sauti, na ngoma zilizo bora duniani

      Music zote za kiafrika inawakilisha waafrika kwa roho, sauti, na ngoma zilizo bora duniani

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-17T15:11:13-03:00Alijibu tarehe 17/04/2020 saa 3:11 um

      Wimbo huu unawapa Raia matumaini ya maisha mema. Unawasisitizia ingawa mambo yanaweza kuwa mangumu wakati huu siku moja mambo yatakuwa mazuri. Tunaitaji nyimbo zaidi kama hii zinazotupa matumini ya mazuri yanayokuja, hasa wakati hii tunapambana na ugonjwa wa Korona. Nakupenda Sana wimbo huu. AsanteSoma zaidi

      Wimbo huu unawapa Raia matumaini ya maisha mema. Unawasisitizia ingawa mambo yanaweza kuwa mangumu wakati huu siku moja mambo yatakuwa mazuri.

      Tunaitaji nyimbo zaidi kama hii zinazotupa matumini ya mazuri yanayokuja, hasa wakati hii tunapambana na ugonjwa wa Korona.

      Nakupenda Sana wimbo huu.

      Asante Sana.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 75 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-17T14:55:27-03:00Alijibu tarehe 17/04/2020 saa 2:55 um

      Hongera sana kwa SautiSol kwa kutoa wimbo huu bora kiasi hiki. Huu ni wimbo unaosaidia kuwatia waafrika nguvu tunapopambana na Korona na masaibu mengine kutokana na hali hii. Ni vyema kiwa mkakamavu na mvumilivu katika maisha ya kila siku ili kuwa bora. Wimbo huu unawapa wananchi wa Kenya na AfrikaSoma zaidi

      Hongera sana kwa SautiSol kwa kutoa wimbo huu bora kiasi hiki. Huu ni wimbo unaosaidia kuwatia waafrika nguvu tunapopambana na Korona na masaibu mengine kutokana na hali hii. Ni vyema kiwa mkakamavu na mvumilivu katika maisha ya kila siku ili kuwa bora. Wimbo huu unawapa wananchi wa Kenya na Afrika mashariki kwa jumla tumaini.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 15/06/2020
      • Jibu: 1

      Je, unapenda muziki wa aina gani?

      Je ni bongo? Genge tone, Kapuka, Hip-hop, Rnb, reggae, nyimbo za injili ama ni gani?

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, ni mwanamuziki yupi bora zaidi nchini Kenya?

      Taja maelezo

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

      • Tarehe: 30/04/2020
      • Majibu: 2

      Kanyewest amekuwa Billionaire?

      Je, ni kweli kwamba Kanyeweza mume wa Beyonce ameweza kuwekwa kwenye orodha ya wanamuziki billionaire duniani?

      • Tarehe: 26/04/2020
      • Majibu: 2

      Unahisi kutokana na majibizano na uadui kati ya Kaligraph na ...

      Baada ya Kaligraph kutoa mziki wake mpya uliovuma kwote Afrika Mashariki. Kwenye mziki unamskia Kaligraph akisema kuwa "Bahati amekua mtoto wa Diana." Maneno haya yamezua mijadala nyingi ya jinsi Bahati amelemewa na ndoa yake na Diana. Unahisi vipi kutokana na

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      Sasa hivi rais wa marekani ametangaza kukatisha uhusiano na WHO.

    • Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?
      • Tarehe: 05/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, watu wangapi hufa kila mwaka kutoka Malaria nchini Tanzania?

      Nimewahi kusikia malaria yaua sana lakini sijui idadi kwa hasa.  Naona ni muhimu kujua mara ngapi Korona ni hatari zaidi kwa watu.  Baki salama na chukueni hatua za kujilinda.

    • Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?
      • Tarehe: 27/04/2020
      • Majibu: 3

      Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

      Watu wengi wanaongea juu ya miradi hiyo kubwa sana. Tofauti ni zipi?

    • Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 5

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki. Tunategemea utalii na exports. Sekta gani zingine zitaathirika?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais