Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7931
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee
aliuliza 07/05/20202020-05-07T15:22:08-03:00 2020-05-07T15:22:08-03:00kwa Kenya

Hatua ya Serikali ya Kenya kuweka Lockdown Eastleigh, je inafaa?

Serikali imeweza kubaini njia tofauti katika kukabiliana na virusi vya Korona. Eastleaigh ikiwa mojawapo ya eneo zilizo kabiliwa na idadi kubwa ya watu walio na Korona. Je hatua hii inastahili au la?

  • 0
  • 2
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    2 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Cloudy2 Namiliki zote ndio mimi mkubwa wa dunia
      2020-05-08T14:12:21-03:00Alijibu tarehe 08/05/2020 saa 2:12 um

      Sijui lakini nashuku itasaidia kufanya lockdown kwa mtaa moja.  Pia watu wa eastleigh wanaweza kuepuka sheria yoyote.  Ujanja upo Eastleigh.  Naogopa mtaa unalengwa na sababu zingine ya kisiasa lakini bado sijasoma juu nayo.

      Sijui lakini nashuku itasaidia kufanya lockdown kwa mtaa moja.  Pia watu wa eastleigh wanaweza kuepuka sheria yoyote.  Ujanja upo Eastleigh.  Naogopa mtaa unalengwa na sababu zingine ya kisiasa lakini bado sijasoma juu nayo.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-27T05:19:35-03:00Alijibu tarehe 27/06/2020 saa 5:19 mu

      Ndio inafaa. Eneo lolote linalopatikana na kiwango cha juu sana cha maambukizi mapya ya virusi vya Corona, linafaa litengwe mpaka virusi vitakapodhibitiwa hapo sasa linaweza kufunguliwa. Hii ni kwa minajili ya kupunguza uwezekano wa maambukizi mapya na mengi zaidi. Hivi ndivyo Ata nchi zingine za ngSoma zaidi

      Ndio inafaa. Eneo lolote linalopatikana na kiwango cha juu sana cha maambukizi mapya ya virusi vya Corona, linafaa litengwe mpaka virusi vitakapodhibitiwa hapo sasa linaweza kufunguliwa. Hii ni kwa minajili ya kupunguza uwezekano wa maambukizi mapya na mengi zaidi. Hivi ndivyo Ata nchi zingine za ng’ambo zinavyofanya.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 07/06/2021
      • Jibu: 1

      TB Joshua alitabiri kifo chake? Alitabiri mengi huyo muhubiri mkristo ...

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, una maoni gani kuhusu uhusiano kati ya Rais Uhuru ...

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Jibu: 1

      Hatua na serikali kuhakikisha kila mwananchi akona maski yake binafsi?

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais