Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7989
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC
aliuliza 23/05/20202020-05-23T22:05:51-03:00 2020-05-23T22:05:51-03:00

Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao za kawaida yafaa?

Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida.
Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi?
Je, kwa maoni yako hatua hili linafaa kwa wakati huu?

  • 0
  • 2
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    2 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. Oracle Mwanajamii
      2020-05-26T00:03:13-03:00Alijibu tarehe 26/05/2020 saa 12:03 mu

      Ni vigumu kusema, lakini mvutano mkubwa ni kati ya maamuzi ya aidha kuendelea na shughuli huku zikichukuliwa tahadhari ama kusimamisha shughuli zote. Yote mawili ni maamuzi yanayofaa kwa kutegemea hali ya nchi husika na wananchi wake, hasa kiuchumu. Wakati nchi nyingi duniani zikiwa na changamoto nySoma zaidi

      Ni vigumu kusema, lakini mvutano mkubwa ni kati ya maamuzi ya aidha kuendelea na shughuli huku zikichukuliwa tahadhari ama kusimamisha shughuli zote. Yote mawili ni maamuzi yanayofaa kwa kutegemea hali ya nchi husika na wananchi wake, hasa kiuchumu. Wakati nchi nyingi duniani zikiwa na changamoto nyingi za kiuchumi, ni vigumu kufunga shughuli zote. Je watu watakula nini? nchi itaendeshwaje? Wakati huo huo, kufunga shughuli na kungesaidia zaidi kuondokana na kirusi hicho kwa muda mpfupi iwapo hali za uchumi zingeruhusu kufanya hivyo.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-27T05:11:45-03:00Alijibu tarehe 27/06/2020 saa 5:11 mu

      Ndio. Hatua hiyo inafaa kwa nchi ambazo tayari zimeweza kudhibiti virusi vya Corona na kumeonyesha kuwa hakuna mlipuko wa pili wa virusi hivyo. Lakini kwa nchi ambazo virusi bado havijadhibitiwa ama kuna mlipuko wa pili, sidhani ni jambo la busara. Wanafaa wavidhibiti kwanza na waweke mikakati ya kuSoma zaidi

      Ndio. Hatua hiyo inafaa kwa nchi ambazo tayari zimeweza kudhibiti virusi vya Corona na kumeonyesha kuwa hakuna mlipuko wa pili wa virusi hivyo. Lakini kwa nchi ambazo virusi bado havijadhibitiwa ama kuna mlipuko wa pili, sidhani ni jambo la busara. Wanafaa wavidhibiti kwanza na waweke mikakati ya kuzuia mlipuko wa pili.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

      • Tarehe: 20/05/2020
      • Majibu: 2

      Uliwahi anzisha bihashara gani?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais