Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

ERIC
ERIC
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 26/02/2021 saa 1:52 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 18/02/2021 saa 11:09 mu
      • NiyimpaRichard alipiga kura dhidi ya swali lakotarehe 14/02/2021 saa 3:01 um
      • NiyimpaRichard alipiga kura kwa swali lako.tarehe 14/02/2021 saa 3:00 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 12/02/2021 saa 12:08 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7989
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC

ERIC

  • Naweza
  • 39 Maswali
  • 42 Majibu
  • 0 Majibu Bora
  • 86 Pointi
Ona Wasifu
ERIC
aliuliza 23/05/20202020-05-23T22:05:51-03:00 2020-05-23T22:05:51-03:00kwa Sheria

Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao za kawaida yafaa?

Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida.
Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi?
Je, kwa maoni yako hatua hili linafaa kwa wakati huu?

  • 0
  • 2
  • 347
  • 0
Jibu
Shea
  • Facebook

    2 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 9 Majibu Bora
      • 125 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-27T05:11:45-03:00Alijibu tarehe 27/06/2020 saa 5:11 mu

      Ndio. Hatua hiyo inafaa kwa nchi ambazo tayari zimeweza kudhibiti virusi vya Corona na kumeonyesha kuwa hakuna mlipuko wa pili wa virusi hivyo. Lakini kwa nchi ambazo virusi bado havijadhibitiwa ama kuna mlipuko wa pili, sidhani ni jambo la busara. Wanafaa wavidhibiti kwanza na waweke mikakati ya kuSoma zaidi

      Ndio. Hatua hiyo inafaa kwa nchi ambazo tayari zimeweza kudhibiti virusi vya Corona na kumeonyesha kuwa hakuna mlipuko wa pili wa virusi hivyo. Lakini kwa nchi ambazo virusi bado havijadhibitiwa ama kuna mlipuko wa pili, sidhani ni jambo la busara. Wanafaa wavidhibiti kwanza na waweke mikakati ya kuzuia mlipuko wa pili.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Oracle

      Oracle

      • Mwanajamii
      • 3 Maswali
      • 10 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 36 Pointi
      Ona Wasifu
      Oracle Mwanajamii
      2020-05-26T00:03:13-03:00Alijibu tarehe 26/05/2020 saa 12:03 mu

      Ni vigumu kusema, lakini mvutano mkubwa ni kati ya maamuzi ya aidha kuendelea na shughuli huku zikichukuliwa tahadhari ama kusimamisha shughuli zote. Yote mawili ni maamuzi yanayofaa kwa kutegemea hali ya nchi husika na wananchi wake, hasa kiuchumu. Wakati nchi nyingi duniani zikiwa na changamoto nySoma zaidi

      Ni vigumu kusema, lakini mvutano mkubwa ni kati ya maamuzi ya aidha kuendelea na shughuli huku zikichukuliwa tahadhari ama kusimamisha shughuli zote. Yote mawili ni maamuzi yanayofaa kwa kutegemea hali ya nchi husika na wananchi wake, hasa kiuchumu. Wakati nchi nyingi duniani zikiwa na changamoto nyingi za kiuchumi, ni vigumu kufunga shughuli zote. Je watu watakula nini? nchi itaendeshwaje? Wakati huo huo, kufunga shughuli na kungesaidia zaidi kuondokana na kirusi hicho kwa muda mpfupi iwapo hali za uchumi zingeruhusu kufanya hivyo.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Jibu: 1

      Hatua na serikali kuhakikisha kila mwananchi akona maski yake binafsi?

      Je,unafikiri kwamba serikali imeweza kusaidia wananchi katika kuwa na maski kila wakati. Ni hatua ipi ambayo serikali inapaswa kuchukua ili kuhakikisha kwamba kila mkenya ana maski yake?

      • Tarehe: 07/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Serikali ya Kenya kuweka Lockdown Eastleigh, je inafaa?

      Serikali imeweza kubaini njia tofauti katika kukabiliana na virusi vya Korona. Eastleaigh ikiwa mojawapo ya eneo zilizo kabiliwa na idadi kubwa ya watu walio na Korona. Je hatua hii inastahili au la?

      • Tarehe: 26/04/2020
      • Majibu: 3

      Ni hatua njema serikali ya Kenya imechukua kuongea muda wa ...

      Wakenya wengi walitarajia kwamba, ule muda uliowekwa na serikali ya siku ishirini na moja ya kafiu zikiweza kuisha, kafiu itaondelewa rasmi. Hii ni ndoto kwa wengi sasa ivi kwakuwa serikali ilionelea kuongeza muda wa kafiu na siku zingine ishirini na

      • Tarehe: 23/04/2020
      • Majibu: 3

      Je, malipo ghali ya kuarantine yafaa?

      Ugonjwa wa Korona umeadhiri dunia yote na kufanya shughuli za kawaida kutofanyika jinsi zilikuwa zinafanywa. Moja wapo wa mambo ambayo hayafanywi ki kawaida ni mambo kama vile kwenda kanisa, kujifijari na pia kutembeleana kwa watu. Serikali mingi zimeeka kuarantine ili

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

      Kenya na Tanzania ni nchi jirani ambazo zimeishi kwa miaka mingi bila ugomvi. Juzi kumekuwa na tatizo fulani kuhusu mpaka wa nchi inzi mbili kutokana na ugonjwa hatari wa Korona. Rais wa Kenya aliamurisha kuwa raia wa Tanzania hawataruhusiwa kuingia

      • Tarehe: 20/05/2020
      • Majibu: 2

      Uliwahi anzisha bihashara gani?

      Duniani kumekuwa na upugufu WA kazi. Kila mwaka vijana wengi wanatuzwa kwa kukamilisha masomo Yao ya chuo kikuu lakini kupata kazi imekuwa balaa Sana. Vijana wengi wameamua kuanzisha bihashara, Je uliwahi anzisha bihashara gani? Ilikuletea faida au hasara?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais