Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?
Shea
Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.
Korona tayari imeenea kote duniani, hata kama serikali itazuia bado ugonjwa huu utaenea. Ni heri nchi kuendelea na shughuli zao za kawaida. Si vyema uchumi kuzoroteka na watu wanazidi kufa.
Korona tayari imeenea kote duniani, hata kama serikali itazuia bado ugonjwa huu utaenea. Ni heri nchi kuendelea na shughuli zao za kawaida. Si vyema uchumi kuzoroteka na watu wanazidi kufa.
Hatua hii itadhuru maanake wengi watarudi katika shughuli zao za kawaida na za kila siku hivyo basi virusi vitasambaa zaidi kutoka kwa mmoja hadi mwengine.
Hatua hii itadhuru maanake wengi watarudi katika shughuli zao za kawaida na za kila siku hivyo basi virusi vitasambaa zaidi kutoka kwa mmoja hadi mwengine.
Angalia kidogoNadhani rais alifanya uamuzi mwema zaidi kwani angeifungua nchi, ingekuwa ng'umu zaidi kuudhibiti ugonjwa huu mashinani.
Nadhani rais alifanya uamuzi mwema zaidi kwani angeifungua nchi, ingekuwa ng’umu zaidi kuudhibiti ugonjwa huu mashinani.
Angalia kidogo