Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JilogishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya rununu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Mkubwa
Mkubwa
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • The administrator approved your answer.17/01/2021 saa 6:32 um
      • Admin alijibu swali lako.15/01/2021 saa 3:23 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.14/01/2021 saa 6:17 um
      • Cloudy2 alipiga kura kwa swali lako.13/01/2021 saa 12:42 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.12/01/2021 saa 11:50 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7133
Inashughulikiwa
Mkubwa
Mkubwa

Mkubwa

  • Dunia inaisha Mungu atabaki
  • 8 Maswali
  • 15 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 72 Pointi
Ona Wasifu
Mkubwa
Asked: 09/04/20202020-04-09T16:37:18-03:00 2020-04-09T16:37:18-03:00 Afya

Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?

Nashangaa vile viongozi kadhaa duniani wana laumu mkuu wa afya duniani Tedros Adhanon? Alifanya kazi vizuri si ndio? Yeye anawakilisha juhudi ya juu dhidi janga.

Eti sasa wengine wanalaumu mkuu wa shirika la afya duniani?
  • 2
  • 1
  • 329
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    1 Jibu

    • Imepigiwa kura
    • Majibu Mapya
    • Kongwe zaidi
    1. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-11T14:05:08-03:00 11/04/2020 saa 2:05 um

      Mkuu wa shirika la afya duniani aliweza kufanya vyema kutahatharisha dunia kutoka na virusi vya Corona. Na hata kuweza kutoa msahada kwa nchini ambazo ziliathirika zaidi na Virusi vya Corona. Kwa maoni yangu Mkuu wa afya duniani anatekeleza majukumu yake ipasavyo Hongera kwake!

      Mkuu wa shirika la afya duniani aliweza kufanya vyema kutahatharisha dunia kutoka na virusi vya Corona. Na hata kuweza kutoa msahada kwa nchini ambazo ziliathirika zaidi na Virusi vya Corona. Kwa maoni yangu Mkuu wa afya duniani anatekeleza majukumu yake ipasavyo Hongera kwake!

      See less
      • 0
      • Shea
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    You must login to add an answer.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 18/07/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni vyakula gani vinavyoongeza kinga mwilini?

      Hasa wakati huu wa janga la corona tunahimizwa sana tule vyakula ambavyo vinaongeza kinga mwilini.

      • Tarehe: 07/06/2020
      • Jibu: 1

      Je , gonjwa gani unahisi ni tishio sana kwa maisha ...

      Mimi naamini ni Cancer

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Shirika la Afya Duniani (WHO) itaendeleaje bila ufadhili wa ...

      Sasa hivi rais wa marekani ametangaza kukatisha uhusiano na WHO.

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Unahisi vipi kufuatia ongezeko ya idadi kubwa ya watu waliogua ...

      Hivi majuzi serikali imetia bidii katika kuwapima wananchi virusi vya Korona. Hatua hii imefuatia watu wengi kupatikana na ugonjwa huu. Je, nini kinaweza kuwa chanzo na ongezeko ya idadi ya watu walio na Korona?

      • Tarehe: 19/05/2020
      • Jibu: 1

      Wagonjwa wa Korona nchini Tanzania ni wagapi kijumla?

      Serikali ya Tanzania ilitangaza kwa haitahesabu idadi ya wagonjwa wa Korona pindi tu walifikisha idadi ya watu 509 na vifo 21. Je wagonjwa wa Korona nchini Tanzania wamefika wagapi Hadi leo?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo cha George Floyd?
      • Tarehe: 06/06/2020
      • Majibu: 3

      Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo ...

      Athari ya maandamano Marekani ni kubwa duniani. Naona watu wa Afrika Mashariki wana shauri za kivyake. Ni vipi?

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Tarehe: 02/06/2020
      • Jibu: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      Sasa kuna habari nyingi toka marekani juu ya ubaguzi dhidi weusi. Ningependa kuuliza kama mtu yeyote ana stori ya kubaguliwa Afrika Mashariki?

      • Tarehe: 28/04/2020
      • Majibu: 2

      Hawa wa GSU walitumia nguvu vibaya Likoni Mombasa wakitekeleza sheria ...

      Angalia hii twitter ambayo inaonesha askari wa GSU wakitawanya watu na gesi ya machozi. Huenda hii ikawa kawaida ndani ya Afrika? Mungu atusaidie

      • Tarehe: 20/04/2020
      • Majibu: 3

      Walibora, shujaa wa Kiswahili, aliuawa Kenya?

      Inaonekana Walibora aliuawa? Nini ilitokea? Mbona mtu angalitaka kumuua mtaalam kama huyo? Mbona yeye hakuokolewa?

    • Tukiangalia nyuma baada ya kuachana Diamond na Tanasha, mnaona Tanasha alikuwa mtu wa dhati kwa uhusiano wao.
      • Tarehe: 03/04/2020
      • Majibu: 4

      Tukiangalia nyuma baada ya kuachana Diamond na Tanasha, mnaona Tanasha ...

      Mimi naona watu wanasikia huruma kwa Diamond lakini mbona tumesahau jinsi Tanasha alikuwa mpole sio kama wengine katika maisha ya nyota. Yeye alimheshimu Diamond sana hata wakati yeye alikuwa mbaya akimdanganya. #TeamTanasha

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais