Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Joylee
Joylee
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.23/01/2021 saa 7:20 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.22/01/2021 saa 5:46 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7680
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee

Joylee

  • shupavu na mwenye bidii.
  • 41 Maswali
  • 43 Majibu
  • 1 Jibu Bora
  • 70 Pointi
Ona Wasifu
Joylee
Uliulizwa: 23/04/20202020-04-23T15:02:40-03:00 2020-04-23T15:02:40-03:00Katika: Kazi

Corona imesimamisha biashara nyingi online.

Unaonelea ni aina gani ya biashara unaeza endeleza kupitia mtandao wakati huu wa lockdown? Toa maona yako na sababu mbona.

  • 0
  • 3
  • 373
  • 1
Jibu
Shea
  • Picha za

    Majibu3

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 118 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-23T08:53:57-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Kuna kazi nyingi mitandaoni ambazo unaweza kufanya wakati huu wa mifungo na zikuletee hela. Hizi ni kama: 1) Tengeneza podcast yako. Hii ni sawa na redio. Shirikisha wasikilizaji wako na uweke matangazo. Pakua programu ambayo inasaidia podcast. 2) Andika hadithi kwa mfano kuhusu maisha yako. Kama huSoma zaidi

      Kuna kazi nyingi mitandaoni ambazo unaweza kufanya wakati huu wa mifungo na zikuletee hela. Hizi ni kama:

      1) Tengeneza podcast yako. Hii ni sawa na redio. Shirikisha wasikilizaji wako na uweke matangazo. Pakua programu ambayo inasaidia podcast.

      2) Andika hadithi kwa mfano kuhusu maisha yako. Kama huna pesa ya kuchapisha kitabu, tengeneza kitabu cha sauti na uuze kwenye mitandao.      

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Admin

      Admin

      • Mimi napenda maisha
      • 1 Swali
      • 1 Jibu
      • 0 Majibu Bora
      • 0 Pointi
      Ona Wasifu
      Admin Admin Mimi napenda maisha
      2020-04-23T17:07:58-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Sio kazi nyingi inayofanyika mtandaoni... Kama wewe ni mtu ambaye ana uwezo basi una bahati.  Lakini ningefanya orodha ingekuwa hivi: Maandishi ya content - kuandika habari ama mambo mengine Uuzaji vitu kupitia vyombo vya jamii - yaani FB ama jukwaa lingine. Utangazaji (advertising) - haya inawezekaSoma zaidi

      Sio kazi nyingi inayofanyika mtandaoni… Kama wewe ni mtu ambaye ana uwezo basi una bahati.  Lakini ningefanya orodha ingekuwa hivi:

      1. Maandishi ya content – kuandika habari ama mambo mengine
      2. Uuzaji vitu kupitia vyombo vya jamii – yaani FB ama jukwaa lingine.
      3. Utangazaji (advertising) – haya inawezekana kupitia mitandao ama hata kutoa YouTube videos kama @Eric amesema

      Sio wote wanaoweza kufanya mambo haya lakini.  Huu ni muda mgumu sana

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. ERIC

      ERIC

      • Naweza
      • 39 Maswali
      • 42 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 86 Pointi
      Ona Wasifu
      ERIC Naweza
      2020-04-23T16:51:57-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Ugonjwa wa Korona umeadhiri bihashara Sana kote duniani, bihashara mingi zimeweza kufungwa na zingine kupuguza idadi ya wafanyi kazi. Je, hivi sasa bihashara ziko chini nini unaweza kufanya ili kujiletea mapato. Kuna  bihashara mingi unaweza kufanya kwenye mitandao na kupata pesa kama vile: 1.KuandiSoma zaidi

      Ugonjwa wa Korona umeadhiri bihashara Sana kote duniani, bihashara mingi zimeweza kufungwa na zingine kupuguza idadi ya wafanyi kazi.

      Je, hivi sasa bihashara ziko chini nini unaweza kufanya ili kujiletea mapato.

      Kuna  bihashara mingi unaweza kufanya kwenye mitandao na kupata pesa kama vile:

      1.Kuandika blogi zinazoelezea jinsi ya kujiepusha na ugonjwa wa Korona na pia matangazo maalum.

      2. Kutengeneza video na kuziweka kwenye YouTube.

      3. Kuwahimiza watu kununua bidhaa za kampuni Fulani.

      4. Kuweka bidhaa kwenye mitandao ya kijamii na upatapo mteja unampelekea alipo.

      5. Kuwasaidia wanafunzi kufanya kazi walizopewa shuleni.

      Asante Sana.

       

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 08/06/2020
      • Majibu: 0

      Una maoni gani kuhusu waafrika kutafuta kazi nchi za uarabuni?

      Kumbuka wengi wanateswa na kuuliwa huko

      • Tarehe: 07/05/2020
      • Majibu: 2

      Ni kazi gani unayoweza kufanya kwenye mtandao ikuletee hela?

      Wakati huu dunia zima imeadhirika sana ugonjwa wa Korona watu wengi wameachishwa kazi. Watu wako ndani ya nyumba zao na bado wana mahitaji si haba. Kuna kazi kocho kocho ambazo zinaezafanywa kwenye mitandao. Je ni kazi gani mtu anaweza kufanya

    • Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?
      • Tarehe: 21/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?

      Nchi nyingi za Africa zinakabiliwa na hili janga la upungufu wa Ajira hasa kwa vijana wanaomaliza masomo ya vyuo vikuu. Nini maoni yako? nini kifanyike kupunguza wimbi hili kubwa la upungufu wa ajira kwa nchi nyingi za Africa.

      • Tarehe: 06/04/2020
      • Majibu: 3

      Ni aina gani ya biashara unaweza kuendeleza ya kunufaisha?

      Ni aina gani ya biashara unaweza kuendeleza ya kunufaisha?

    • Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 5

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki. Tunategemea utalii na exports. Sekta gani zingine zitaathirika?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      Kufuatia idadi kubwa ya wamerekani kuuguza na kufariki kutokana na virusi vya Korona. Rais Trump aliweza kutia mikakati zaidi ka kubaliana na Korona. Je hatua hii ya serikali ya Amerika imefaulu au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameweza kutangaza kwamba ataweza kuondoa vizuizi vya mpaka na hata kafiu. Je, hatua hii itasaidia katika kurejesha hali ya uchumi kama awali au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      Hivi majuzi kumekite visa kadha hasa nchini Kenya pale ambapo wanaume wameadhibiwa na wapemzi kwa njia isiyo bora. Kwa mfano; Kutokea visa pale ambapo mwanamke mmoja amechanja kifuani mwanaume mmoja ambaye aliku ni mpenzi wake. Je, nini ambacho wanaume wanatenda

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      Rais was Kenya Uhuru Kenyatta aliweza kutangaza kwamba baada ya siku zilizoongezwa za lockdown na kafiu kuisha, serikali itaweza kurejesha biashara kama hapo kitambo. Je, unaona kama hii ni wazo nzuri au la?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

      Hivi majuzi Magix Enga ameweza kutoa malalamishi akidai kwamba wimbo mpya ambao umetolewa na Diamond ina makosa mengi ikiwemo kwenye habari inayopitiza. Je, unaona kama Magix Enga anaweza kumsaini Diamond na timu yake ya Wasafi kupitia kandarasi?

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais