Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 21/02/2022 saa 12:18 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:44 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 23/01/2022 saa 11:27 um
      • Siloshi alijibu swali lako.tarehe 30/12/2021 saa 5:06 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7680
Inashughulikiwa
Joylee
Joylee
aliuliza 23/04/20202020-04-23T15:02:40-03:00 2020-04-23T15:02:40-03:00kwa Kazi

Corona imesimamisha biashara nyingi online.

Unaonelea ni aina gani ya biashara unaeza endeleza kupitia mtandao wakati huu wa lockdown? Toa maona yako na sababu mbona.

  • 0
  • 3
  • 1
Jibu
Shea
  • Facebook

    3 Majibu

    • Kura
    • Mapya
    • Zamani
    1. ERIC Naweza
      2020-04-23T16:51:57-03:00Alijibu tarehe 23/04/2020 saa 4:51 um

      Ugonjwa wa Korona umeadhiri bihashara Sana kote duniani, bihashara mingi zimeweza kufungwa na zingine kupuguza idadi ya wafanyi kazi. Je, hivi sasa bihashara ziko chini nini unaweza kufanya ili kujiletea mapato. Kuna  bihashara mingi unaweza kufanya kwenye mitandao na kupata pesa kama vile: 1.KuandiSoma zaidi

      Ugonjwa wa Korona umeadhiri bihashara Sana kote duniani, bihashara mingi zimeweza kufungwa na zingine kupuguza idadi ya wafanyi kazi.

      Je, hivi sasa bihashara ziko chini nini unaweza kufanya ili kujiletea mapato.

      Kuna  bihashara mingi unaweza kufanya kwenye mitandao na kupata pesa kama vile:

      1.Kuandika blogi zinazoelezea jinsi ya kujiepusha na ugonjwa wa Korona na pia matangazo maalum.

      2. Kutengeneza video na kuziweka kwenye YouTube.

      3. Kuwahimiza watu kununua bidhaa za kampuni Fulani.

      4. Kuweka bidhaa kwenye mitandao ya kijamii na upatapo mteja unampelekea alipo.

      5. Kuwasaidia wanafunzi kufanya kazi walizopewa shuleni.

      Asante Sana.

       

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. Admin Admin Mimi napenda maisha
      2020-04-23T17:07:58-03:00Alijibu tarehe 23/04/2020 saa 5:07 um

      Sio kazi nyingi inayofanyika mtandaoni... Kama wewe ni mtu ambaye ana uwezo basi una bahati.  Lakini ningefanya orodha ingekuwa hivi: Maandishi ya content - kuandika habari ama mambo mengine Uuzaji vitu kupitia vyombo vya jamii - yaani FB ama jukwaa lingine. Utangazaji (advertising) - haya inawezekaSoma zaidi

      Sio kazi nyingi inayofanyika mtandaoni… Kama wewe ni mtu ambaye ana uwezo basi una bahati.  Lakini ningefanya orodha ingekuwa hivi:

      1. Maandishi ya content – kuandika habari ama mambo mengine
      2. Uuzaji vitu kupitia vyombo vya jamii – yaani FB ama jukwaa lingine.
      3. Utangazaji (advertising) – haya inawezekana kupitia mitandao ama hata kutoa YouTube videos kama @Eric amesema

      Sio wote wanaoweza kufanya mambo haya lakini.  Huu ni muda mgumu sana

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. CarolGK Napenda lugha
      2020-06-23T08:53:57-03:00Alijibu tarehe 23/06/2020 saa 8:53 mu
      Jibu hili lilibadilishwa.

      Kuna kazi nyingi mitandaoni ambazo unaweza kufanya wakati huu wa mifungo na zikuletee hela. Hizi ni kama: 1) Tengeneza podcast yako. Hii ni sawa na redio. Shirikisha wasikilizaji wako na uweke matangazo. Pakua programu ambayo inasaidia podcast. 2) Andika hadithi kwa mfano kuhusu maisha yako. Kama huSoma zaidi

      Kuna kazi nyingi mitandaoni ambazo unaweza kufanya wakati huu wa mifungo na zikuletee hela. Hizi ni kama:

      1) Tengeneza podcast yako. Hii ni sawa na redio. Shirikisha wasikilizaji wako na uweke matangazo. Pakua programu ambayo inasaidia podcast.

      2) Andika hadithi kwa mfano kuhusu maisha yako. Kama huna pesa ya kuchapisha kitabu, tengeneza kitabu cha sauti na uuze kwenye mitandao.      

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Facebook
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 08/06/2020
      • Majibu: 0

      Una maoni gani kuhusu waafrika kutafuta kazi nchi za uarabuni?

      • Tarehe: 20/05/2020
      • Majibu: 2

      Uliwahi anzisha bihashara gani?

      • Tarehe: 07/05/2020
      • Majibu: 2

      Ni kazi gani unayoweza kufanya kwenye mtandao ikuletee hela?

      • Tarehe: 01/05/2020
      • Majibu: 2

      Ni biashara gani Bora Sana Afrika?

    • Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?
      • Tarehe: 21/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Majibu: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Tarehe: 28/05/2020
      • Majibu: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Tarehe: 26/05/2020
      • Jibu: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Vyeo
      • Vyeo
      • Matuzo
      • Watumiaji Wengine
    • Kutuhusu
      • Kutuhusu
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais