Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Luyela
Luyela
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.23/01/2021 saa 7:20 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.22/01/2021 saa 5:46 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 6885
Inashughulikiwa
Luyela
Luyela

Luyela

  • KIJANA SHUPAVU
  • 5 Maswali
  • 7 Majibu
  • 2 Majibu Bora
  • 67 Pointi
Ona Wasifu
Luyela
Uliulizwa: 03/04/20202020-04-03T17:56:29-03:00 2020-04-03T17:56:29-03:00Katika: Kazi

Biashara baada ya kuisha kwa ugonjwa wa Corona itakuwaje?

Kwa kipindi hiki cha Corona, hali ya biashara sehemu nyingi imekua mbaya sana kulingani na sheria mbali mbali zilizowekwa ndani ya nchi. Nimekuwa nikijiuliza kwamba hali ya biashara itakuaje baada ya ugonjwa huu kuisha. Biashara gani zitakazo kua na nafasi nzuri ya kustawi na kuleta faida?

corona
  • 3
  • 3
  • 607
  • 1
Jibu
Shea
  • Picha za

    3 Majibu

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. Mkubwa

      Mkubwa

      • Dunia inaisha Mungu atabaki
      • 8 Maswali
      • 15 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 74 Pointi
      Ona Wasifu
      Mkubwa Dunia inaisha Mungu atabaki
      2020-04-03T18:33:54-03:00Alijibu 6:33 um

      Sasa naona dunia yote inajiuliza hivi. Kazi ya kudumu ni gani? Labda kazi inayowezekana nyumbani itastawi zaidi yaani computer programming ama kusimamia websites. Bila shaka hiyo ni sekta kidogo sana kwa hivyo haifai kama jibu. Naona serikali itakuwa na wajibu wa kusaidia watu warudie kazi. NyakatiSoma zaidi

      Sasa naona dunia yote inajiuliza hivi. Kazi ya kudumu ni gani? Labda kazi inayowezekana nyumbani itastawi zaidi yaani computer programming ama kusimamia websites. Bila shaka hiyo ni sekta kidogo sana kwa hivyo haifai kama jibu. Naona serikali itakuwa na wajibu wa kusaidia watu warudie kazi. Nyakati ngumu hasa kwa wanaotegemea pesa ya kila siku.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 118 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-24T06:22:30-03:00Alijibu 6:22 mu

      Biashara zinazotumia wingu la kompyuta hazitaweza kuwa chini ya shinikizo la janga la virusi vya corona. Automatisering zaidi na akili bandia itaongeza uvumilivu wa minyororo ya usambazaji. Biashara zilizofanikiwa zitakuwa na mchanganyiko wa uvumilivu na ushujaa.

      Biashara zinazotumia wingu la kompyuta hazitaweza kuwa chini ya shinikizo la janga la virusi vya corona. Automatisering zaidi na akili bandia itaongeza uvumilivu wa minyororo ya usambazaji. Biashara zilizofanikiwa zitakuwa na mchanganyiko wa uvumilivu na ushujaa.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-09T12:11:25-03:00Alijibu 12:11 um

      Nchini mbali mbali zilizo athirika na Virusi vya Corona zinahofia kuangamia kiuchumi. Hii ni kufuatia sekta ya biashara kuangamia. Sheria zilizowekwa kwenye nchi kama Kenya ambaya inataka kila mtu awe nyumbani kwake kabla ya saa moja jioni. Wanabiashara wanakatiza kazi zao kwa ajili ya sheria hii haSoma zaidi

      Nchini mbali mbali zilizo athirika na Virusi vya Corona zinahofia kuangamia kiuchumi. Hii ni kufuatia sekta ya biashara kuangamia. Sheria zilizowekwa kwenye nchi kama Kenya ambaya inataka kila mtu awe nyumbani kwake kabla ya saa moja jioni. Wanabiashara wanakatiza kazi zao kwa ajili ya sheria hii hapa Kenya. Hivyo baada ya Corona biashara nyingi hazitaweza kuendelea kama mbeleni.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

    • Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki
      • Tarehe: 05/04/2020
      • Majibu: 5

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

      Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki. Tunategemea utalii na exports. Sekta gani zingine zitaathirika?

    • Unaogopa ebola ama corona zaidi?
      • Tarehe: 02/04/2020
      • Majibu: 5

      Unaogopa ebola ama corona zaidi?

      Sasa dunia pote panachukua hatua kupigana na virusi. Lakini huko congo na pengine Afrika tayari tunashughulikia maradhi kama ebola. Si waafrika wa Afrique de l'est wamezoea? Masaibu ya ebola imekuwapo Beni kwa muda. Sasa Corona inabisha

    • Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?
      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 3

      Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? ...

      Tayari nimeanza kuwa na shida ya kubaki nyumbani. Nina faida ya kufanya kazi nyumbani lakini tayari magambano yanazidi na mke. Pia sijui muda gani kazi itabaki katika mazingira haya ya kutojua chochote. Naogopa kuwa uchumi utazorota muda

      • Tarehe: 30/03/2020
      • Majibu: 4

      Je, mtu anaweza kupata corona kupitia ngono?

      Naona watu bado wana mahitaji yao ya kimwili, hasa katika muda huu wa kubaki nyumbani siku yote. Swali hili ni muhimu tujue namna tuendelee na usalama. Majibu ya serious tu naomba.

    • Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana na ugonjwa wa Corona?
      • Tarehe: 29/03/2020
      • Majibu: 2

      Nchi gani katika Afrika Mashariki ina uwezo zaidi ya kupambana ...

      Leo tunakaribia mwezi wa aprili na mimi najiuliza nchi gani itafanikiwa zaidi kupambana na Corona? Leo nilisikia Rwanda chakula kitapelekewa wananchi wao. Tanzania ilianza mapema kutoa marafuku. Nchi zingine ikoje?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

    • Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?
      • Tarehe: 23/04/2020
      • Majibu: 4

      Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?

      Katika miaka ya mwanzoni wa mwaka 2000 hadi kufika mwaka 2006 kulitokea viumbe wawili mafundi sana wa mpira, nao ni Ronaldinho Gaucho na Zinedine Zidane. Je kwa mtazamo wako, nani alikua mkali zaidi ya mwingine?

    • Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?
      • Tarehe: 21/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?

      Nchi nyingi za Africa zinakabiliwa na hili janga la upungufu wa Ajira hasa kwa vijana wanaomaliza masomo ya vyuo vikuu. Nini maoni yako? nini kifanyike kupunguza wimbi hili kubwa la upungufu wa ajira kwa nchi nyingi za Africa.

      • Tarehe: 16/04/2020
      • Majibu: 2

      Je ni sahihi kwa Liverpool kua mabingwa?

      Kutokana na sintofahamu hii ya Corona, kuna uwezekano mkubwa ligi kuu ya England ikahairishwa mpaka msimu ujao. Nini maoni yako, je ni vema tukaipa ubingwa wa msimu huu club ya Liverpool?

      • Tarehe: 13/04/2020
      • Majibu: 3

      Nini kifanyike ili kujikinga na maambukizi mapya

      Kufatia ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya corona katika nchi za Africa. Nini kifanyike ili kujikinga na maambukizi mapya yanaendelea kwa kasi.

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais