Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

ERIC
ERIC
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Admin alifuata swali lako.19/01/2021 saa 12:08 mu
      • Admin alipigia kura swali lako19/01/2021 saa 12:07 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.19/01/2021 saa 12:07 mu
      • MamaYako alipiga kura kwa swali lako.18/01/2021 saa 11:59 um
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka
Nyumbani / Maswali / Swali 7161
Inashughulikiwa
ERIC
ERIC

ERIC

  • Naweza
  • 39 Maswali
  • 42 Majibu
  • 0 Majibu Bora
  • 86 Pointi
Ona Wasifu
ERIC
Uliulizwa: 11/04/20202020-04-11T17:30:16-03:00 2020-04-11T17:30:16-03:00Katika: Siasa

Afrika wanafaa kufanya nini kufuatilia waafrika waliodhulumiwa China?

Jana video za waafrika waliodhulumiwa China zilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii. Ni Jambo gani viogozi wa Afrika wanafaa kufanya kutokana na tendo hili la unyama?

  • 2
  • 4
  • 399
  • 0
Jibu
Shea
  • Picha za

    Majibu4

    • yenye Kura
    • Mapya
    • ya Zamani
    1. ToujoursKwako

      ToujoursKwako

      • J'en ai marre
      • 2 Maswali
      • 5 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 43 Pointi
      Ona Wasifu
      ToujoursKwako J'en ai marre
      2020-04-13T02:13:48-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Kila janga duniani mwishoni wafrika watalaumiwa hata ikiwa hawahusiki hata kidogo. Ubaguzi malheureusement upo sana china lakini sio china tu.

      Kila janga duniani mwishoni wafrika watalaumiwa hata ikiwa hawahusiki hata kidogo. Ubaguzi malheureusement upo sana china lakini sio china tu.

      Angalia kidogo
      • 1
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    2. CarolGK

      CarolGK

      • Napenda lugha
      • 13 Maswali
      • 100 Majibu
      • 8 Majibu Bora
      • 118 Pointi
      Ona Wasifu
      CarolGK Napenda lugha
      2020-06-30T03:19:22-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Tunafaa kujilaumu wenyewe na uongozi wetu. Wachina wanapewa heshima sana nchini Kenya ata kuliko wenyeji kwa sababu ya miradi na fedha wanazo ingiza nchini na mikopo tunayo faidi kutoka kwao. Serikali ya Kenya ilifaa kuendea wananchi waliokuwa wakiteseka nchini China haraka iwezekanavyo na kuwapelekSoma zaidi

      Tunafaa kujilaumu wenyewe na uongozi wetu. Wachina wanapewa heshima sana nchini Kenya ata kuliko wenyeji kwa sababu ya miradi na fedha wanazo ingiza nchini na mikopo tunayo faidi kutoka kwao. Serikali ya Kenya ilifaa kuendea wananchi waliokuwa wakiteseka nchini China haraka iwezekanavyo na kuwapeleka karantini huku nchini.

      Angalau huku wangekuwa salama na pia wananchi wangekuwa salama kwa kuwa wangewekwa karantini. Lakini tuliona nchi ya Kenya ikisita sita na kuonekana kama ata yenye kutetea nchi ya uchina wakisema kuwa wamedhibitisha kuwa hakuna waafrika wanaoteseka huko na kuwa habari hizo ni propaganda. Pia waliongezea kuwa wanaotaka kurudi Kenya wajigharamikie wenyewe. Hii imeletea wachina kutudharau zaidi kwani wameona serikali yetu haijali wananchi wake na pia haina uwezo wa kusaidia wananchi wake. Wanachodhamini zaidi ni pesa wanazopata kutoka nchi ya Uchina.

      Inauma sana kuona mtu wa jamii yako akiteseka kwenye nchi ya kigeni na hakuna kinachofanyika.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    3. Joylee

      Joylee

      • shupavu na mwenye bidii.
      • 41 Maswali
      • 43 Majibu
      • 1 Jibu Bora
      • 70 Pointi
      Ona Wasifu
      Joylee shupavu na mwenye bidii.
      2020-04-15T15:51:54-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Muungano wa Kiafrika inapaswa kuchukua hatua kuhusu tukio hili. Tumeweza kutazama kwenye soshio midia na hata kwenye runinga jinsi wakejya wanalala mjini sakafuni kuke China. Ilhali raiya wa China apa Kenya wamepewa heshima ya kuwango cha juu. Serikali ni vyema kuchukua hatua na kukomesha tabia kamaSoma zaidi

      Muungano wa Kiafrika inapaswa kuchukua hatua kuhusu tukio hili. Tumeweza kutazama kwenye soshio midia na hata kwenye runinga jinsi wakejya wanalala mjini sakafuni kuke China. Ilhali raiya wa China apa Kenya wamepewa heshima ya kuwango cha juu. Serikali ni vyema kuchukua hatua na kukomesha tabia kama hii. Kunapaswa kuwa na usawa kote duniani bila kuzingatia rangi, kabila, ama eneo mtu alipozaliwa au asili yake. Sote tukiungana tutaweza kuangamiza Corona..

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp
    4. Mzungu

      Mzungu

      • Lugha ndio daraja
      • 1 Swali
      • 9 Majibu
      • 0 Majibu Bora
      • 43 Pointi
      Ona Wasifu
      Mzungu Lugha ndio daraja
      2020-04-13T01:52:59-03:00Aliongeza jibu kwa$ s kwa$ s

      Shida enyewe ni namna waafrika hawajashikamana pamoja, labda hiyo ni tokeo la ukoloni yaani matengamano yanabaki. Iwe umoja wa Afrika ambao ina jukumu kukosoa ubaguzi wa wafrika lakini naona shirika hili halijaingilia siasa ya dunia kwa nguvu.

      Shida enyewe ni namna waafrika hawajashikamana pamoja, labda hiyo ni tokeo la ukoloni yaani matengamano yanabaki. Iwe umoja wa Afrika ambao ina jukumu kukosoa ubaguzi wa wafrika lakini naona shirika hili halijaingilia siasa ya dunia kwa nguvu.

      Angalia kidogo
      • 0
      • Shiriki
        Shea
        • Picha za
        • Twitter
        • WhatsApp

    Lazima uingie ili kuongeza jibu.

    Facebook
    Google
    Twitter
    ama tumia

    Umesahau nywila?

    Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

    Mwambaaupande

    Maswali Husika

      • Tarehe: 09/01/2021
      • Majibu: 2

      Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

      • Tarehe: 27/12/2020
      • Majibu: 2

      Je, ni wanasiasa wa Tanzania wangapi walidai Asylum baada ya ...

      • Tarehe: 22/11/2020
      • Jibu: 1

      Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za Watanzania katika ...

      Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za wananchi wa Tanzania katika kipindi cha pili cha Rais John nmagufuli? Je, uhuru utaheshimiwa au utazidi kuminywa?

      • Tarehe: 29/07/2020
      • Majibu: 0

      Je, kuna athari gani kwa nchi za Afrika kutokana na ...

      Migogoro isiyokwisha kati ya mataifa makubwa ya China na Marekani imepelekea kutokea kwa mgogoro mkubwa wa kidiplomasia kati ya nchi hizo. Hivi karibuni Marekani ilifunga ubalozi wa China huko Houston, Texas, na China ikalipa kisasi kwa kufunga ubalozi wa Marekani

      • Tarehe: 14/06/2020
      • Majibu: 0

      Je, una maoni gani kuhusu uhusiano kati ya Rais Uhuru ...

      Fafanua madhara ya uhusiano huu na mkondo unaochukua kisiasa

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je wazo lako ni gani kufuatilia ugonjwa hatari wa Korona?

      Ugonjwa wa Korona ni hatari mno. Kwa miezi tatu iliyopita umeweza kuadhiri dunia yote Sana. Watu wengi wana mawazo tofauti ambayo yanafaa kutekelezwa, kuhusiana na ugonjwa huu. Je unawaza vipi kutokana na ugonjwa huu?

    • Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?
      • Tarehe: 30/05/2020
      • Jibu: 1

      Je, ushatimiza ndoto yako ya utotoni?

      Kila mtoto huwa na ndoto ambayo angependa kuitimiza atakapokuwa mkubwa. Ni asilimia kidogo sana ambayo hufikia ndoto hizo.  Je, ulikuwa na ndoto gani utotoni wako?  Ushaitimiza?  Iwapo hapana, bado unaona utaitimiza ama la?

      • Tarehe: 25/05/2020
      • Majibu: 2

      Tanzania kuruhusu watalii ni Jambo mzuri?

      Juma iliyopita Rais wa Tanzania John Magufuli alihamrisha raia wa Tanzania waendelee na shughuli zao za kawaida. Mojawapo wa Jambo alizosema zitaendelea ni kutembelea kwa watalii nchini. Leo Watalii wameanza kuwasili nchini Tanzania. Je hili ni Jambo la busara?

      • Tarehe: 23/05/2020
      • Majibu: 2

      Hatua ya Nchi mingi duniani kuamua kuendelea na shughuli zao ...

      Ugonjwa wa Korona uliadhiri shughuli duniani kote. Nchi mingi zilizoadhirika zililazimika kusimamishwa shughuli zao za kawaida. Siku chache zilizopita nchi mingi zimeonekana zikiwasihi raia wake kuendelea na shughuli zao za kawaida ili kuzuia kuzoroteka kwa uchumi? Je, kwa maoni yako

      • Tarehe: 22/05/2020
      • Majibu: 2

      Je kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inatengemea ...

      Kenya na Tanzania ni nchi jirani ambazo zimeishi kwa miaka mingi bila ugomvi. Juzi kumekuwa na tatizo fulani kuhusu mpaka wa nchi inzi mbili kutokana na ugonjwa hatari wa Korona. Rais wa Kenya aliamurisha kuwa raia wa Tanzania hawataruhusiwa kuingia

    Gundua

    • Nyumbani
    • Majukwaa
    • Ziada
      • Kutuhusu
      • Vyeo
      • Tagi
      • Wenzako
      • MUS

    Kijachini

    Hakimiliki 2019 Maswali.com

    Mtandao wa kijamii

    • Kutuhusu
    • Sera ya Faragha
    • Masharti ya Utumiaji
    • Wasiliana Nasi

    Lugha Saidizi

    • swKiswahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrançais