Mkubwa aliuliza 03/04/2020kwa Mahusiano, Matuzo Tukiangalia nyuma baada ya kuachana Diamond na Tanasha, mnaona Tanasha alikuwa mtu wa dhati kwa uhusiano wao.
Oracle aliuliza 22/11/2020kwa Matuzo, Tanzania Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za Watanzania katika kipindi cha pili cha Rais Magufuli?
CarolGK aliuliza 12/06/2020kwa Mahusiano, Matuzo Je, unaweza kuoa au kuolewa na mtu ambaye si wa dini yako?
Mkubwa aliuliza 06/06/2020kwa Matuzo, Umataifa Watu wa Kiswahili wana shauri gani kwa wamarekani wanaoandamana kifo cha George Floyd?
Kura Upendo aliuliza 30/03/2020kwa Mahusiano, Matuzo Wafrika ni watu wachangamfu – tutaendelea hivyo kabisa baada ya muda huu mrefu wa kutengana?