S'inscrire

Facebook
Google
Twitter
Ou utiliser

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Avoir un compte? Connectez vous maintenant

Se connecter

Facebook
Google
Twitter
Ou utiliser

Mot de passe oublié?

Je n'ai pas de compte, Inscrivez-vous ici

Mot de passe oublié

Mot de passe perdu? Veuillez saisir votre adresse e-mail. Vous recevrez un lien et créerez un nouveau mot de passe par e-mail.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Avoir un compte? Connectez vous maintenant

Désolé, vous n'êtes pas autorisé à poser une question, Vous devez vous connecter pour poser une question.

Facebook
Google
Twitter
Ou utiliser

Mot de passe oublié?

Besoin d'un compte, Inscrivez-vous ici
Maswali Logo Maswali Logo
Se connecterS'inscrire

Questions

Chercher
Poser Une Question

Menu mobile

Fermer
Poser une Question
  • Acceuil
  • Catégories
  • Positions
    • Positions
    • Récompenses
    • Watumiaji Wengine
  • A propos
    • A propos
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Contributions
    • Questions
    • Réponses
    • Meilleures réponses
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historique
    • Activités
    • Annonces
      • Don du site - 20 Pointi.07/11/2022 à 11:39
      • Don du site - 20 Points.06/11/2022 à 12:38
      • Don du site - 20 Pointi.02/08/2022 à 3:01
      • Don du site - 20 Points.03/07/2022 à 3:35
      • Don du site - 20 Points.01/04/2022 à 6:17
      • Afficher toutes les notifications.
    • Points
  • Message
  • Réglages
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Deconnecter
Accueil / Des questions / Q 7491
En cours
Joylee
Joylee
Posée: 19/04/20202020-04-19T03:15:56-03:00 2020-04-19T03:15:56-03:00Dans: Relations

Unawezaje jua iwapo utaweza kuoa mpenzi uliye naye wakati huu

Ni wazi kuwa, watu wengi hawayuko kazini kufuatia janga ka Korona. Wanaochimbiana wanatarajia siku itafika waweze kufunga ndoa. Utawezaje ng’amua iwapo mpenzi uliye naye wakati huu ndiye mtakaye funga ndo pamoja naye?

  • 0
  • 2
  • 1
Répondre
Partager
  • Facebook

    2 Réponses

    • Voté
    • Récent
    • Le plus ancien
    1. ERIC Naweza
      2020-04-19T03:47:07-03:00A repondu le 19/04/2020 à 3:47

      Ni wengi wanaochimbiana ila ni wachache tu huwa wanafunga ndoa. Kunao wanaochimbiana kwa miaka mingi lakini mwishowe wanaachana tu. Iwapo mnachumbiana unaweza njua kama mtaweza kuoana kwa kutazama jinsi mnavyoishi. Iwapo mtu akona mpango wa kukuoa hatafanya mambo mingi yanayo changia maisha yenu yaLire la suite

      Ni wengi wanaochimbiana ila ni wachache tu huwa wanafunga ndoa. Kunao wanaochimbiana kwa miaka mingi lakini mwishowe wanaachana tu.

      Iwapo mnachumbiana unaweza njua kama mtaweza kuoana kwa kutazama jinsi mnavyoishi.

      Iwapo mtu akona mpango wa kukuoa hatafanya mambo mingi yanayo changia maisha yenu ya siku za usoni lakini iwapo mtu Hana mpango ya kukuoa mambo hatakayofanya ni ya muda mfupi tu.

      Asante Sana.

      Voir moins
      • 1
      • Partager
        Partager
        • Partager sur Facebook
        • Partager sur Twitter
        • Partager sur WhatsApp
    2. CarolGK Napenda lugha
      2020-07-01T01:45:03-03:00A repondu le 01/07/2020 à 1:45

      Hiyo inategemea na wewe binafsi lakini ningeomba kama huna nia ya kumuoa msichana wa watu usimpotezee muda wake na kumuharibia maisha yake. Nyinyi wenyewe mnawaharibu wasichana halafu mnawatupa mkisema kuwa mnataka kuwaoa mabikira. Je, ni ungwana kweli? Kwani wasichana hawa hawajitoi ubikira. Na kumLire la suite

      Hiyo inategemea na wewe binafsi lakini ningeomba kama huna nia ya kumuoa msichana wa watu usimpotezee muda wake na kumuharibia maisha yake. Nyinyi wenyewe mnawaharibu wasichana halafu mnawatupa mkisema kuwa mnataka kuwaoa mabikira. Je, ni ungwana kweli? Kwani wasichana hawa hawajitoi ubikira. Na kumbuka dunia ni duara, unyama unaowafanyia wasichana hawa wataja fanyiwa kizazi chako pia.

      Voir moins
      • 0
      • Partager
        Partager
        • Partager sur Facebook
        • Partager sur Twitter
        • Partager sur WhatsApp

    Vous devez vous connecter pour ajouter une réponse.

    Facebook
    Google
    Twitter
    Ou utiliser

    Mot de passe oublié?

    Besoin d'un compte, Inscrivez-vous ici

    Barre latérale

    Maswali Husika

      • Sur: 14/06/2020
      • Réponse: 0

      Je, ni mtu wa kabila gani huwezi kuolewa naye na ...

      • Sur: 12/06/2020
      • Réponse: 1

      Je, unaweza kuoa au kuolewa na mtu ambaye si wa ...

      • Sur: 05/06/2020
      • Réponse: 1

      Je, nijuaje kama mwanamume ni mtu mkweli katika uhusiano?

    • Umewahi kubaguliwa na mzungu?
      • Sur: 02/06/2020
      • Réponse: 1

      Umewahi kubaguliwa na mzungu?

      • Sur: 28/05/2020
      • Réponses: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • Sur: 30/05/2020
      • Réponses: 3

      Je, Donald Trump ameweza kuthibiti Korona Marekani au la?

      • Sur: 28/05/2020
      • Réponses: 3

      Hatua na serikali ya Kenya kuondo kafiu na vizuizi vya ...

      • Sur: 28/05/2020
      • Réponses: 2

      Je, wanaume wamelegea katika kutekeleza majukumu ya ndoa?

      • Sur: 26/05/2020
      • Réponse: 1

      Ni mambo gani ambayo umepanga utafanya pindi tu serikali itakapo ...

      • Sur: 26/05/2020
      • Réponse: 1

      Unahisi vipi kutokana na maoni ya Magix Enga kutaka kumsaini ...

    Explorer

    • Acceuil
    • Catégories
    • Positions
      • Positions
      • Récompenses
      • Watumiaji Wengine
    • A propos
      • A propos
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Bas de page

    Droits d'auteur 2019 Maswali.com

    Des médias sociaux

    • A propos
    • Politique de confidentialité
    • Conditions d'utilisation
    • Contactez-nous
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais