Sign Up

Facebook
Google
Twitter
or use

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Have an account? Sign In Now

Sign In

Facebook
Google
Twitter
or use

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Have an account? Sign In Now

Sorry, you do not have a permission to ask a question, You must login to ask question.

Facebook
Google
Twitter
or use

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here
Maswali Logo Maswali Logo
Sign InSign Up

Questions

Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
  • Home
  • Topics
  • Points system
    • Points system
    • Rewards
    • Watumiaji Wengine
  • About Us
    • About Us
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Contributions
    • Questions
    • Answers
    • Best Answers
  • Following
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • History
    • Activity Log
    • Notifications
      • Gift of the site - 20 Pointi.07/11/2022 at 11:39 am
      • Gift of the site - 20 Points.06/11/2022 at 12:38 pm
      • Gift of the site - 20 Pointi.02/08/2022 at 3:01 am
      • Gift of the site - 20 Points.03/07/2022 at 3:35 pm
      • Gift of the site - 20 Points.01/04/2022 at 6:17 am
      • Show all notifications.
    • Point Log
  • Messages
  • Settings
    • Profile
    • Privacy
    • E-mail
  • Log Out
Home / Questions / Q 6795
In Process
MamaYako
MamaYakoAdmin
Asked: 31/03/20202020-03-31T22:53:08-03:00 2020-03-31T22:53:08-03:00In: Health

Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?

Sasa inaonekana hata Burundi iko na visa vya maambukizi ya corona. Ndio walikuwa wanasema labda neema ya mungu ililinda nchi yake. Hongera kwake kwa kuepusha corona mpaka sasa. Nchi ya burundi iko kwa hali maskini zaidi ya nchi zingine East Africa basi wako na siku zaidi ya kujitayarisha janga hili. Naomba neema zaidi mungu!

Linki hii ndio habari kutoka Burundi:

Kweli mwanzoni Burundi ililindwa corona na neema ya mungu?
burundijangakoronamunguneema
  • 1
  • 2
  • 0
Answer
Share
  • Facebook

    2 Answers

    • Voted
    • Recent
    • Oldest
    1. CarolGK Napenda lugha
      2020-08-07T11:40:45-03:00Added an answer on 07/08/2020 at 11:40 am

      Nchi nyingi Afrika kama vile Burundi na Tanzania ugonjwa wa Covid unaenea lakini serikali zao zimeamua kuzificha habari hizo. Tumeshuhudia miezi michache iliyopita vifo vya kutatanisha vya wakuu wa serikali za Burundi na Tanzania ambavyo hatuwezi dhibitisha kama kweli ni vya Corona au la, kwani seriRead more

      Nchi nyingi Afrika kama vile Burundi na Tanzania ugonjwa wa Covid unaenea lakini serikali zao zimeamua kuzificha habari hizo.

      Tumeshuhudia miezi michache iliyopita vifo vya kutatanisha vya wakuu wa serikali za Burundi na Tanzania ambavyo hatuwezi dhibitisha kama kweli ni vya Corona au la, kwani serikali zao zimekanusha.

      Hata hivyo ugonjwa huu ni neema ya Mungu tu inayotulinda Afrika nzima kwani ni swala zito sana kwa Afrika kwa ujumla.

      See less
      • 1
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on WhatsApp
    2. Nilote4life Naamini kwa uwezo wa utu
      2020-04-05T06:12:25-03:00Added an answer on 05/04/2020 at 6:12 am

      Africa yote ina neema ya Mungu.

      Africa yote ina neema ya Mungu.

      See less
      • 0
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on WhatsApp

    You must login to add an answer.

    Facebook
    Google
    Twitter
    or use

    Forgot Password?

    Need An Account, Sign Up Here

    Sidebar

    Maswali Husika

    • Rwanda itapelekea chakula raia zao kweli?
      • On: 02/04/2020
      • Answers: 3

      Rwanda itapelekea chakula raia zao kweli?

    • Kanisa ina jukumu gani wakati huo gumu wa kutokea janga la Corona?
      • On: 02/04/2020
      • Answers: 2

      Kanisa ina jukumu gani wakati huo gumu wa kutokea janga ...

    • Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? Wiki, miezi ama hata miaka?
      • On: 30/03/2020
      • Answers: 3

      Wakati gani maisha yatarudia kawaida kutokana na virusi ya Corona? ...

    Mengine ya Muulizaji Huyu

      • On: 07/06/2021
      • Answer: 1

      TB Joshua alitabiri kifo chake? Alitabiri mengi huyo muhubiri mkristo ...

      • On: 27/12/2020
      • Answers: 2

      Je, ni wanasiasa wa Tanzania wangapi walidai Asylum baada ya ...

      • On: 30/04/2020
      • Answers: 3

      Unasemaje "habari yako" kwa kifaransa?

    • Kanisa ina jukumu gani wakati huo gumu wa kutokea janga la Corona?
      • On: 02/04/2020
      • Answers: 2

      Kanisa ina jukumu gani wakati huo gumu wa kutokea janga ...

    Explore

    • Home
    • Topics
    • Points system
      • Points system
      • Rewards
      • Watumiaji Wengine
    • About Us
      • About Us
      • MUS (maswali ulizwa sana)

    Footer

    Copyright 2019 Maswali.com

    Social media

    • About Us
    • Privacy Policy
    • Terms of Use
    • Contact Us
    • swSwahili
    • en_USEnglish
    • fr_FRFrancais