Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Jilogisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa bapepe.

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

Tayari una akaunti? Jilogisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
Weka sahihiJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Ziada
    • Kutuhusu
    • Vyeo
    • Tagi
    • Wenzako
    • MUS

Profile menu

Admin
Admin
  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.23/01/2021 saa 7:20 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.22/01/2021 saa 5:46 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura kwa swali lako.21/01/2021 saa 4:48 mu
      • Admin alipiga kura dhidi ya swali lako19/01/2021 saa 12:13 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
  • Ondoka

Karibu

Bado tunatayarisha tovuti yetu. 
Asante kwa subira.

Nishindaje?
  • Ya Sasa Hivi
  • Yapendekezwa
  • Majibu Kwa Ajili Yako
  • Majibu Yanayovuma
  • Yenye Tuzo
  • Yanavuma
  1. Uliulizwa: 09/01/2021Katika: Siasa

    Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

    MamaYako

    MamaYako

    • Sio mama mboga
    • 4 Maswali
    • 17 Majibu
    • 2 Majibu Bora
    • 76 Pointi
    Ona Wasifu
    MamaYako Sio mama mboga
    Alijibu 3:34 um

    Nakubali na Joho kwamba inabidi mpwani awe nafasi kubwa katika siasa za urais.  Naona wapwani hawapangi vizuri kama kabila zingine za Kenya.

    Nakubali na Joho kwamba inabidi mpwani awe nafasi kubwa katika siasa za urais.  Naona wapwani hawapangi vizuri kama kabila zingine za Kenya.

    Angalia kidogo
    • Shiriki
      Shea
      • Picha za
      • Twitter
      • WhatsApp
  2. Uliulizwa: 22/11/2020Katika: Matuzo, Siasa

    Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za Watanzania katika kipindi cha pili cha Rais Magufuli?

    wanjepeter

    wanjepeter

    • 1 Swali
    • 1 Jibu
    • 0 Majibu Bora
    • 26 Pointi
    Ona Wasifu
    wanjepeter
    Alijibu 3:47 mu

    Hali ya uhuru na haki sioni kuwa nzuri katika uongozi wa makufuli. Uongozi wa Rais Magufuli umezingatia kujenga Tanzania na kuboresha uchumi. Uongozi wake hauzingatii haki na uhuru.

    Hali ya uhuru na haki sioni kuwa nzuri katika uongozi wa makufuli. Uongozi wa Rais Magufuli umezingatia kujenga Tanzania na kuboresha uchumi. Uongozi wake hauzingatii haki na uhuru.

    Angalia kidogo
    • Shiriki
      Shea
      • Picha za
      • Twitter
      • WhatsApp
  3. Uliulizwa: 15/06/2020Katika: Matuzo, Muziki

    Je, unapenda muziki wa aina gani?

    Oracle

    Oracle

    • Mwanajamii
    • 3 Maswali
    • 10 Majibu
    • 1 Jibu Bora
    • 41 Pointi
    Ona Wasifu
    Oracle Mwanajamii
    Alijibu 1:00 mu

    Mimi hupenda muziki wa aina nyingi kutegemea na hali iliyopo kwa wakati huo. Pia ni mpenzi wa vionjo na tamaduni tofauti katika muziki na maisha kwa ujumla.

    Mimi hupenda muziki wa aina nyingi kutegemea na hali iliyopo kwa wakati huo. Pia ni mpenzi wa vionjo na tamaduni tofauti katika muziki na maisha kwa ujumla.

    Angalia kidogo
    • Shiriki
      Shea
      • Picha za
      • Twitter
      • WhatsApp
  4. Uliulizwa: 27/04/2020Katika: Safari

    Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

    Mkubwa

    Mkubwa

    • Dunia inaisha Mungu atabaki
    • 8 Maswali
    • 14 Majibu
    • 1 Jibu Bora
    • 74 Pointi
    Ona Wasifu
    Mkubwa Dunia inaisha Mungu atabaki
    Alijibu 3:26 um

    Kenya Tanzania Nishati petroli umeme Urefu Uliopangwa mpaka Uganda mpaka Rwanda Gharama kwa mita nyingi sio nyingi Ufadhili China Uturuhuki, Ureno Mwaka ilioanzishwa 2017 2019 Ubia wa Nchi Jirani Uganda Kongo, Rwanda, Burundi   Niambie kama nilkosa kitu kwa meza ya juu.

    Kenya Tanzania
    Nishati petroli umeme
    Urefu Uliopangwa mpaka Uganda mpaka Rwanda
    Gharama kwa mita nyingi sio nyingi
    Ufadhili China Uturuhuki, Ureno
    Mwaka ilioanzishwa 2017 2019
    Ubia wa Nchi Jirani Uganda Kongo, Rwanda, Burundi

     

    Niambie kama nilkosa kitu kwa meza ya juu.

    Angalia kidogo
    • Shiriki
      Shea
      • Picha za
      • Twitter
      • WhatsApp
    • 1
  5. Uliulizwa: 23/04/2020Katika: Michezo

    Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?

    ERIC

    ERIC

    • Naweza
    • 39 Maswali
    • 42 Majibu
    • 0 Majibu Bora
    • 86 Pointi
    Ona Wasifu
    ERIC Naweza
    Alijibu 4:57 um

    Ronaldinho na Zinedine walikuwa wachezaji wakali Sana kwa kipindi cha miaka sita 2000-2006. Shabiki wote wa soka walibishana Sana kuhusu wachezaji hawa wawili. Nani kweli alikuwa mnoma? Mashujaa hawa walikuwa hodari Sana kwa kucheza soka, wote walikuwa Bora na mchezo wao ulipendeza Sana. Kwa maoni ySoma zaidi

    Ronaldinho na Zinedine walikuwa wachezaji wakali Sana kwa kipindi cha miaka sita 2000-2006.

    Shabiki wote wa soka walibishana Sana kuhusu wachezaji hawa wawili. Nani kweli alikuwa mnoma?

    Mashujaa hawa walikuwa hodari Sana kwa kucheza soka, wote walikuwa Bora na mchezo wao ulipendeza Sana.

    Kwa maoni yangu Zinedine alikuwa hodari lakini Ronaldinho alikuwa hodari zaidi.

    Asante Sana.

    Angalia kidogo
    • Shiriki
      Shea
      • Picha za
      • Twitter
      • WhatsApp
Pata Majibu Zaidi

Mwambaaupande

Takwimu Zetu

  • Maswali 139
  • Majibu 313
  • Majibu Bora 24
  • Watumiaji 29

Jisajili!

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba 3 kuendelea ( 3 )

RSS Matuzo ya Airtime

  • Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za Watanzania katika kipindi cha pili cha Rais Magufuli? 22/11/2020
    Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za wananchi wa Tanzania katika kipindi cha pili cha Rais John nmagufuli? Je, uhuru utaheshimiwa au utazidi kuminywa?
    Oracle
  • BBC Swahili inasikika katika nchi ngapi? 19/06/2020
    Unaweza kunitajia nchi ambazo watu wake wanasikiliza BBC idhaa ya Kiswahili?. Na wanasikiliza kupitia vituo gani vya redio katika nchi zao, au wanatumia njia gani nyingine?
    Calvin
  • Chakula gani kinachowezesha ngozi yako kuzeeka zaidi? 15/06/2020
    Taja aina kumi za chakula zinazofanya sura yako kuzeeka kwa haraka ama kuonekana yenye kuzeeka?
    CarolGK
  • Je, unapenda muziki wa aina gani? 15/06/2020
    Je ni bongo? Genge tone, Kapuka, Hip-hop, Rnb, reggae, nyimbo za injili ama ni gani?
    CarolGK
  • Je, maishani mwako ungependa kutembelea nchi gani? 15/06/2020
    Taja sababu ya kupendezwa na nchi hiyo, kiwango hicho
    CarolGK

Gundua

  • Nyumbani
  • Matuzo
  • Vyeo
  • Wenzako
  • Majukwaa
    • Afya
    • Kazi
    • Kilimo
    • Lugha
    • Mahusiano
    • Matuzo
    • Michezo
    • Muziki
    • Safari
    • Sheria
  • Matangazo
  • MUS (Maswali Ulizwa Sana)
  • Kutuhusu

Kijachini

Hakimiliki 2019 Maswali.com

Mtandao wa kijamii

  • Kutuhusu
  • Sera ya Faragha
  • Masharti ya Utumiaji
  • Wasiliana Nasi

Lugha Saidizi

  • swKiswahili
  • en_USEnglish
  • fr_FRFrançais

Majibu yenye Kura Zaidi yatashindia hivi

100 Ksh 2200 Tsh 4000 Ush

Nishindaje?