Jisajili

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Jitambulisha

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa

Umesahau nywila?

Ulipoteza nywila? Tafadhali ingiza bapepe. Utapewa linki cha kutengeneza nywila tena kwa barua pepe.

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

Tayari una akaunti? Jitambulisha sasa

Pole, Watumiaji tu wanaweza kuuliza swali, Inabidi kujilogisha kwanza.

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Umesahau nywila?

Bado huna akaunti? Jisajili Hapa
Maswali Nembo Maswali Nembo
JitambulishaJisajili

Maswali

Tafuta
Uliza Swali

Menyu ya wasifu

Funga
Uliza Swali
  • Nyumbani
  • Majukwaa
  • Vyeo
    • Vyeo
    • Matuzo
    • Watumiaji Wengine
  • Kutuhusu
    • Kutuhusu
    • MUS (maswali ulizwa sana)

Profile menu

  • Michango
    • Maswali
    • Majibu
    • Majibu Bora
  • Ufuasi
    • Maswali Unayofuata
    • Watu Unaofuata
  • Historia
    • Vitendo
    • Vijulisho
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 07/11/2022 saa 11:39 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 06/11/2022 saa 12:38 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Pointi.tarehe 02/08/2022 saa 3:01 mu
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 03/07/2022 saa 3:35 um
      • Zawadi kwa kujiunga nasi. - 20 Points.tarehe 01/04/2022 saa 6:17 mu
      • Ona Zote
    • Pointi
  • Jumbe
  • Mipangilio
    • Wasifu
    • Faragha
    • Barua Pepe
  • Ondoka

Bado tunatayarisha tovuti yetu. 
Asante kwa subira.

Nishindaje?
  • Ya Sasa Hivi
  • Yapendekezwa
  • Ya Kwako
  • Ya Kuvuma
  • Ya Lisho
  • Ya Kutuzwa
  • Ya Kura
  1. aliuliza 09/01/2021kwa Kenya

    Je, wapwani wana nafasi yao stahili kwenye urais?

    Bora
    MamaYako Admin Sio mama mboga
    Alijibu tarehe 11/01/2021 saa 3:34 um

    Nakubali na Joho kwamba inabidi mpwani awe nafasi kubwa katika siasa za urais.  Naona wapwani hawapangi vizuri kama kabila zingine za Kenya.

    Nakubali na Joho kwamba inabidi mpwani awe nafasi kubwa katika siasa za urais.  Naona wapwani hawapangi vizuri kama kabila zingine za Kenya.

    Angalia kidogo
    • 2
    • Shiriki
      Shea
      • Facebook
      • Twitter
      • WhatsApp
  2. aliuliza 22/11/2020kwa Matuzo, Tanzania

    Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za Watanzania katika kipindi cha pili cha Rais Magufuli?

    Bora
    wanjepeter
    Alijibu tarehe 28/11/2020 saa 3:47 mu

    Hali ya uhuru na haki sioni kuwa nzuri katika uongozi wa makufuli. Uongozi wa Rais Magufuli umezingatia kujenga Tanzania na kuboresha uchumi. Uongozi wake hauzingatii haki na uhuru.

    Hali ya uhuru na haki sioni kuwa nzuri katika uongozi wa makufuli. Uongozi wa Rais Magufuli umezingatia kujenga Tanzania na kuboresha uchumi. Uongozi wake hauzingatii haki na uhuru.

    Angalia kidogo
    • 2
    • Shiriki
      Shea
      • Facebook
      • Twitter
      • WhatsApp
  3. aliuliza 15/06/2020kwa Matuzo, Muziki

    Je, unapenda muziki wa aina gani?

    Oracle Mwanajamii
    Alijibu tarehe 29/07/2020 saa 1:00 mu

    Mimi hupenda muziki wa aina nyingi kutegemea na hali iliyopo kwa wakati huo. Pia ni mpenzi wa vionjo na tamaduni tofauti katika muziki na maisha kwa ujumla.

    Mimi hupenda muziki wa aina nyingi kutegemea na hali iliyopo kwa wakati huo. Pia ni mpenzi wa vionjo na tamaduni tofauti katika muziki na maisha kwa ujumla.

    Angalia kidogo
    • 2
    • Shiriki
      Shea
      • Facebook
      • Twitter
      • WhatsApp
  4. aliuliza 27/04/2020kwa Safari

    Tofauti kati SGR ya Kenya na ya Tanzania ni nini?

    Mkubwa Dunia inaisha Mungu atabaki
    Alijibu tarehe 01/05/2020 saa 3:26 um

    Kenya Tanzania Nishati petroli umeme Urefu Uliopangwa mpaka Uganda mpaka Rwanda Gharama kwa mita nyingi sio nyingi Ufadhili China Uturuhuki, Ureno Mwaka ilioanzishwa 2017 2019 Ubia wa Nchi Jirani Uganda Kongo, Rwanda, Burundi   Niambie kama nilkosa kitu kwa meza ya juu.

    Kenya Tanzania
    Nishati petroli umeme
    Urefu Uliopangwa mpaka Uganda mpaka Rwanda
    Gharama kwa mita nyingi sio nyingi
    Ufadhili China Uturuhuki, Ureno
    Mwaka ilioanzishwa 2017 2019
    Ubia wa Nchi Jirani Uganda Kongo, Rwanda, Burundi

     

    Niambie kama nilkosa kitu kwa meza ya juu.

    Angalia kidogo
    • 2
    • Shiriki
      Shea
      • Facebook
      • Twitter
      • WhatsApp
  5. aliuliza 23/04/2020kwa Michezo

    Nani ni mkali zaidi ya mwenzake?

    ERIC Naweza
    Alijibu tarehe 23/04/2020 saa 4:57 um

    Ronaldinho na Zinedine walikuwa wachezaji wakali Sana kwa kipindi cha miaka sita 2000-2006. Shabiki wote wa soka walibishana Sana kuhusu wachezaji hawa wawili. Nani kweli alikuwa mnoma? Mashujaa hawa walikuwa hodari Sana kwa kucheza soka, wote walikuwa Bora na mchezo wao ulipendeza Sana. Kwa maoni ySoma zaidi

    Ronaldinho na Zinedine walikuwa wachezaji wakali Sana kwa kipindi cha miaka sita 2000-2006.

    Shabiki wote wa soka walibishana Sana kuhusu wachezaji hawa wawili. Nani kweli alikuwa mnoma?

    Mashujaa hawa walikuwa hodari Sana kwa kucheza soka, wote walikuwa Bora na mchezo wao ulipendeza Sana.

    Kwa maoni yangu Zinedine alikuwa hodari lakini Ronaldinho alikuwa hodari zaidi.

    Asante Sana.

    Angalia kidogo
    • 2
    • Shiriki
      Shea
      • Facebook
      • Twitter
      • WhatsApp
  6. aliuliza 22/04/2020kwa Mahusiano

    Mambo gani yanayo weza kusababisha mtu awe na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa yake?

    ERIC Naweza
    Alijibu tarehe 22/04/2020 saa 1:32 um

    Ndoa zimekuwa na changamoto mingi sana. Walio kwenye ndoa wanatamani kutoka ila wenye hawajaoa wanatamani kugunga ndoa. Mojawapo wa changamoto hizi ni wapezi kutoaminiana na pia kusaliti ndo kwa kwenda nje ya ndoa. Tendo hili linaweza Sababishwa na sababu zifuatazo; 1. Mpezi kutotosheleza mpeziye kiSoma zaidi

    Ndoa zimekuwa na changamoto mingi sana. Walio kwenye ndoa wanatamani kutoka ila wenye hawajaoa wanatamani kugunga ndoa.

    Mojawapo wa changamoto hizi ni wapezi kutoaminiana na pia kusaliti ndo kwa kwenda nje ya ndoa.

    Tendo hili linaweza Sababishwa na sababu zifuatazo;

    1. Mpezi kutotosheleza mpeziye kingono- kama mpezi amtoshelezi mweziye kingono, mweziye anaweza tafuta atakaye mtosheleza.

    2. Wapezi kutoheshimiana- Iwapo mmeoana na hamheshimiani inawezekana mmoja wenyu atoke nje ya ndoa atakapoheshimiwa.

    3. Tabia mpezio kuanya- iwapo mpezio ni mhanyaji unaweza amua kuanya pia ili kulipisha.

    4. Hali ya umasikini- kama mmekubwa na umasikini unaweza shirikiana na mtu atakaye kupea pesa.

    5. Ulevi- walevi chakari ni nadra kupata wakati wa mapezi na pia unaweza jipata umeshiriki mapenzi nje ya ndoa kutokana na ulevi wako.

     

    Angalia kidogo
    • 2
    • Shiriki
      Shea
      • Facebook
      • Twitter
      • WhatsApp
  7. aliuliza 21/04/2020kwa Kazi

    Nini kifanyike kupunguza tatizo la Ajira?

    ERIC Naweza
    Alijibu tarehe 21/04/2020 saa 12:24 um

    Ni kweli kuwa kupata ajira siku hizi limekuwa ajira kwa watu wengi wanaotoka kwenye vyuo vikuu. Idadi ya ajira ni kidogo kuliko idadi ya wanaotafuta ajira na hili limesababisha watu wengi kukosa au pia kufanya kazi tofauti na masomo waliosoma kwenye vyuo vikuu. Teknolojia ya kisasa pia imesababishaSoma zaidi

    Ni kweli kuwa kupata ajira siku hizi limekuwa ajira kwa watu wengi wanaotoka kwenye vyuo vikuu. Idadi ya ajira ni kidogo kuliko idadi ya wanaotafuta ajira na hili limesababisha watu wengi kukosa au pia kufanya kazi tofauti na masomo waliosoma kwenye vyuo vikuu.

    Teknolojia ya kisasa pia imesababisha ukosefu wa kazi kwani kazi mingi zilizokuwa zikitekelezwa na watu binafsi zinafanywa kupitia mashine.

    Wasomi wengi wameweza kuanzisha bihashara na kujiajiri ila kunao wamebaki kuzubaa hawana bee wala tee.

    ILI KUKABILIANA NA UKOSEFU WA AJIRA YAFUATAYO YANAFAA;

    1. Wasomi waelimishwe jinsi wanavyoweza kutumia masomo yao kutekeleza shughuli ambazo zitawaletea hela.
    2. Ni muhimu bihashara kufanywa somo la lazima kwa wasomi wote kwenye vyuo vikuu ili waweze elewa jinsi wanaweza fanya bihashara.
    3. Bihashara zinazo azishiwa na waliokosa kazi hazifai kutozwa kodi.
    4. Serikali inapaswa kuwapa wasio na kazi pesa za kuazisha bihashara.
    5. Umri wa kustaafu unapaswa kupunguzwa ili kuwawezesha wanaotoka vyuoni kupata kazi.
    6. Serikali inapaswa kutoa amri kampuni za nchi za kigeni zilizo nchini kuajiri wanafunzi wanaotoka kwenye vyuo vikuu.
    Angalia kidogo
    • 2
    • Shiriki
      Shea
      • Facebook
      • Twitter
      • WhatsApp
  8. aliuliza 05/04/2020kwa Kazi

    Wawekezaji wanatulia nyakati hizi. Najiuliza athari zitakuwaje hasa Afrika Mashariki

    Mzungu Lugha ndio daraja
    Alijibu tarehe 05/04/2020 saa 9:24 um

    Sekta ya mikutano na mikusanyiko na mahoteli yatakuwa matatani mwisho wa mwaka. Hiyo ndio prediction yangu. Lakini naona Afrika itarudi haraka zaidi baada ya athari zimekwisha duniani.

    Sekta ya mikutano na mikusanyiko na mahoteli yatakuwa matatani mwisho wa mwaka. Hiyo ndio prediction yangu. Lakini naona Afrika itarudi haraka zaidi baada ya athari zimekwisha duniani.

    Angalia kidogo
    • 2
    • Shiriki
      Shea
      • Facebook
      • Twitter
      • WhatsApp
  9. aliuliza 01/04/2020kwa Lugha, Matuzo

    Mbona watu wengi wanafikiri wazungu hawajui kiswahili?

    Bora
    MamaYako Admin Sio mama mboga
    Alijibu tarehe 03/04/2020 saa 8:01 um

    Sababu ni rahisi mwanagu. Maoni ndio hayo kutokana na ukweli ya kwamba wazungu wengi karibu wote hawajui kiswahili isipokuwa wachache kama wewe ikiwa wewe ni mzungu kiukweli.

    Sababu ni rahisi mwanagu. Maoni ndio hayo kutokana na ukweli ya kwamba wazungu wengi karibu wote hawajui kiswahili isipokuwa wachache kama wewe ikiwa wewe ni mzungu kiukweli.

    Angalia kidogo
    • 2
    • Shiriki
      Shea
      • Facebook
      • Twitter
      • WhatsApp
  10. aliuliza 30/03/2020kwa Mahusiano

    Je, mtu anaweza kupata corona kupitia ngono?

    Luyela KIJANA SHUPAVU
    Alijibu tarehe 03/04/2020 saa 5:58 um

    Hapana, mtu hawezi kupata maambuzi ya corona kupitia ngono. Ila anaweza kupata virusi endapo tu watagusana sehemu zenye vidudu vya corona kama mikononi, mdomoni n.k

    Hapana, mtu hawezi kupata maambuzi ya corona kupitia ngono. Ila anaweza kupata virusi endapo tu watagusana sehemu zenye vidudu vya corona kama mikononi, mdomoni n.k

    Angalia kidogo
    • 2
    • Shiriki
      Shea
      • Facebook
      • Twitter
      • WhatsApp
Pata Majibu Zaidi

Mwambaaupande

Takwimu Zetu

  • Maswali 145
  • Majibu 319
  • Majibu Bora 27
  • Watumiaji 55

Jisajili!

Facebook
Google
Twitter
ama tumia

Ingiza namba ya 3 kuendelea yaani: ( 3 )

RSS Matuzo ya Airtime

  • Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za Watanzania katika kipindi cha pili cha Rais Magufuli? 22/11/2020
    Je, unaonaje hali ya uhuru na haki za wananchi wa Tanzania katika kipindi cha pili cha Rais John nmagufuli? Je, uhuru utaheshimiwa au utazidi kuminywa?
    Oracle
  • BBC Swahili inasikika katika nchi ngapi? 19/06/2020
    Unaweza kunitajia nchi ambazo watu wake wanasikiliza BBC idhaa ya Kiswahili?. Na wanasikiliza kupitia vituo gani vya redio katika nchi zao, au wanatumia njia gani nyingine?
    Calvin
  • Chakula gani kinachowezesha ngozi yako kuzeeka zaidi? 15/06/2020
    Taja aina kumi za chakula zinazofanya sura yako kuzeeka kwa haraka ama kuonekana yenye kuzeeka?
    CarolGK
  • Je, unapenda muziki wa aina gani? 15/06/2020
    Je ni bongo? Genge tone, Kapuka, Hip-hop, Rnb, reggae, nyimbo za injili ama ni gani?
    CarolGK
  • Je, maishani mwako ungependa kutembelea nchi gani? 15/06/2020
    Taja sababu ya kupendezwa na nchi hiyo, kiwango hicho
    CarolGK

Gundua

  • Nyumbani
  • Matuzo
  • Vyeo
  • Wenzako
  • Majukwaa
    • Afya
    • Kazi
    • Lugha
    • Mahusiano
    • Matuzo
    • Michezo
    • Muziki
    • Safari
  • Matangazo
  • MUS (Maswali Ulizwa Sana)
  • Kutuhusu

Kijachini

Hakimiliki 2019 Maswali.com

Mtandao wa kijamii

  • Kutuhusu
  • Sera ya Faragha
  • Masharti ya Utumiaji
  • Wasiliana Nasi
  • swSwahili
  • en_USEnglish
  • fr_FRFrancais